Trump atawaumbua NSSF na PSSF

Trump atawaumbua NSSF na PSSF

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Maelfu ya watanzania watakaokosa kazi kutokana na Amri ya Rais wa Marekani Donald Trupm, itawaumbua CCM jinsi wanavyoendesha serikali Kwa kutegemea kukopa toka kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii.

Siku maelefu hayo ya watanzania watakapokwenda kuchukua fedha zao kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii, itakuwa dhahama.

Nina hakika mifuko ya hifadhi haina uwezo wa kuhimili madai ya wafanyakazi hao watakao kuwa wamekosa kazi kutokana na Amri ya Trump.

CCM ni Lazima waumbuke na hao wafanyakazi ni Lazima wajitayarishe kuzungushwa kupata mafao yao toka NSSF maana CCM imezoea kuendesha serikali kwa kutegemea kuchota pesa toka kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii.
 
Maelfu ya watanzania watakaokosa kazi kutokana na Amri ya Rais wa Marekani Donald Trupm, itawaumbua CCM jinsi wanavyoendesha serikali Kwa kutegemea kukopa toka kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii.

Siku maelefu hayo ya watanzania watakapokwenda kuchukua fedha zao kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii, itakuwa dhahama.

Nina hakika mifuko ya hifadhi haina uwezo wa kuhimili madai ya wafanyakazi hao watakao kuwa wamekosa kazi kutokana na Amri ya Trump.

CCM ni Lazima waumbuke na hao wafanyakazi ni Lazima wajitayarishe kuzungushwa kupata mafao yao toka NSSF maana CCM imezoea kuendesha serikali kwa kutegemea kuchota pesa toka kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii.
hakuna haja ya kubabaika, kuweweseka wala kupotosha wadau kwa hofu zisizo na maana gentleman 🐒
 
Maelfu ya watanzania watakaokosa kazi kutokana na Amri ya Rais wa Marekani Donald Trupm, itawaumbua CCM jinsi wanavyoendesha serikali Kwa kutegemea kukopa toka kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii.

Siku maelefu hayo ya watanzania watakapokwenda kuchukua fedha zao kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii, itakuwa dhahama.

Nina hakika mifuko ya hifadhi haina uwezo wa kuhimili madai ya wafanyakazi hao watakao kuwa wamekosa kazi kutokana na Amri ya Trump.

CCM ni Lazima waumbuke na hao wafanyakazi ni Lazima wajitayarishe kuzungushwa kupata mafao yao toka NSSF maana CCM imezoea kuendesha serikali kwa kutegemea kuchota pesa toka kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii.
Ajabu nssf na pssf kwanini iwakopeshe hela za wanachama wanasiasa? Kwanini wasikope bank? Tatizo linaanzia hapo
 
Kuna bibi yangu mmoja ni mzanzibarii halafu ni spender, hana uchungu na pesa ya wanae , ye ni kutapanya pesa hovyo.
Hapa hana budi aanze kujifunza kubana matumizi la sivyo mamabo yatakua mabaya.
Halafu CCM wanajifanya kushangilia wakati mambo mengi yanategemea kuendeshwa kwa "hisani ya watu Wa marekani" wakati zetu wanagawana wao kwa wao.
 
Wanalazimishwa, maana wakubwa wa hiyo mifuko huteuliwa kimkakati.
Mimi kuikopesha serikali kweli wanakuwa hawana uwezo wa kuwanyima kiuhalisia ila hawa wabunge wana powers gani za kuomba hela nssf kama siyo kuchezea hela za wananchi, waende wakakope bank, wanakimbia kukopa bank kwa sababu hawana nia ya kulipa,hela ya bank huwezi kuichezea
 
Back
Top Bottom