Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio, mafao yao hayapitii NSSF wala PSSFmkuu wanaongelewa wafanyakazi.
Zamani tukifanya mitihani tulikuwa tunaambiwa read the instruction carefuly before answering the questions. Kwako wewe soma uzi carefuly before commenting..Pesa za USAID haziingizwi NSSF wala PSSF. Thread closed
Soma comnents zangu zinazofuata, acha ujuajiZamani tukifanya mitihani tulikuwa tunaambiwa read the instruction carefuly before answering the questions. Kwako wewe soma uzi carefuly before commenting..
sawa mkuu. upo sahihi kabisa, nimegugu nikakuta upo sahihi kabisa.Ndio, mafao yao hayapitii NSSF wala PSSF
Asante mkuu, mm ni mvivu wa kuandika, comment yangu ya kwanza wengi hawatoielewasawa mkuu. upo sahihi kabisa, nimegugu nikakuta upo sahihi kabisa.
Nakueleza ukweli hujaelewa mada, wala hii haihitaji ujuaji. Haihitaji ujuaji kufahamu kwamba anayekata tawi la mti huku amelikalia ataanguka nalo.Soma comnents zangu zinazofuata, acha ujuaji
Sijaona chochote zaidi ya upotoshajiNakueleza ukweli hujaelewa mada, wala hii haihitaji ujuaji. Haihitaji ujuaji kufahamu kwamba anayekata tawi la mti huku amelikalia ataanguka nalo.
Ila wapo wafanyakazi wanaochangia mifuko hiyoPesa za USAID haziingizwi NSSF wala PSSF. Thread closed
Unajiamini kweli kweliNina hakika mifuko ya hifadhi haina uwezo wa kuhimili madai ya wafanyakazi hao watakao kuwa wamekosa kazi kutokana na Amri ya Trump.
Angalia hapaMaelfu ya watanzania watakaokosa kazi ku
Siku maelefu hayo ya watanzania watakapokwenda kuchukua fedha zao kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii, itakuwa dhahama.
CCM ni Lazima waumbuke na hao wafanyakazi ni Lazima wajitayarishe kuzungushwa kupata mafao yao toka NSSF maana CCM imezoea kuendesha serikali kwa kutegemea kuchota pesa toka kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii.
Mifuko ipi !? Umeielewa hii mada !Ila wapo wafanyakazi wanaochangia mifuko hiyo
Wanakopa ?Hana hoja. CCM Kila siku wanakwapua pesa toka mifuko ya hifadhi ya jamii.
Hata mm amenishangaza sana jamaa 😂😂Unajiamini kweli kweli
Kimekushangaza nini?Hata mm amenishangaza sana jamaa 😂😂
Zinaingizwa huko mkuu, nasubiri mwezi mmoja upite nifungue madai japo niwe napata ile 33.3%Pesa za waajiriwa wa mashirika chini ya USAID haziingizwi NSSF wala PSSF. Thread closed