Trump atishia vikwazo, Colombia yasalimu amri kuhusu wahamiaji haramu

Huyu Mwamba hafagiliii makunyanzi hivi ile ishu ya Bashite kuzuiwa kuingia USA si ilitoka enzi za utawala wake? Hawawezi wakamtekenya kidogo wakamuita ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Hapo tunaongelea ishu za maana wewe unatuletea utopolo, hivi akiri yenu inakosaga vitu vya kuwaza eeeh??
 
Huyu Mwamba hafagiliii makunyanzi hivi ile ishu ya Bashite kuzuiwa kuingia USA si ilitoka enzi za utawala wake? Hawawezi wakamtekenya kidogo wakamuita ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Moja ya mambo aliyowekewa vikwazo Bashote ni, kuwabana Mashoga, sasa Trumpooo ndio kakazia kabisa aisee

Itabidi Bashite alipwe na hao USA kwa kumchafulia jina lake ilihali na wao kwa sasa wanafanya yale yale ya Bashite
 
TURAMPU ANANIKOSHA SANA๐Ÿค—๐Ÿค—๐Ÿค—
 
Trump anafanya vyema Sana kulinda maslahi mapana zaidi ya umma na nchi yake. Hii itasaidia sana kuwafanya Watawala wengi zaidi waliopo kwenye nchi zingine kuwajibika katika kuwahudumia Wananchi wao.
 
Huyu Trump ni mbabe ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ