milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
JPM 👏Sicheki na wowote nailinda yangu nchiiiii...
Nyie wengine viroboti hamuwezi kunifolooo.
Dance dance dance...
Sa hivi kila nchi ina dance according to the beat.
View attachment 3215135
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JPM 👏Sicheki na wowote nailinda yangu nchiiiii...
Nyie wengine viroboti hamuwezi kunifolooo.
Dance dance dance...
Sa hivi kila nchi ina dance according to the beat.
View attachment 3215135
Kina mange na nyumba zao za mbao n mabox kama pangmya wa suaWanalea wasiojiweza kwenye vituo maalum.Tuwaonee huruma.
Nchi za Africa tumekosa viongozi wazuri wenye ushawishi. Ingekuwa kipindi Cha nyerere hii ndio ilikuwa fulsa ya kuusimamisha kisawasawa umoja wa waafrika na hata ikiwezekana kuwa nchi yenye raisi mmoja tu. Maana tulichokuwa tukihofu hakipo kwa Sasa zaidi tutasifiwa tu na mkombozi Trump.Magufuli huyoo
Urusi usiiamini jwa trump hawawez mpigia yowe 😂Aende na urusi akafanye hivo