SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
- Thread starter
-
- #21
Usiombe akusikie. Limekataa kata kata kwamba alimgusa.Naam. Kala demu; hajaliwa Wala kula dume! Kwangu Mimi sioni issue
... angekuwa ame-date na yale matakataka yaliyolaaniwa ingekuwa breaking news worldwide na angedharaulika mno! Ila ku-date na hicho kidemu; Trump ni kidume kweli kweli.
Trump anapinga ushoga ndo maana wanampa kesi nzito
Siasa za hukuni kama CCM wanavyopinga ushoga halafu CDM wanausapotiyupo irrelevant ikija kwenye siasa za Kwetu huku. Nenda huko ukampende basi.
Naishi na Vibaka Mkuu, wako kwa V8, hio haiwezi kuwa issue kwanguUsiombe akusikie. Limekataa kata kata kwamba alimgusa.
Issue ipo, sasa ataitwa kibaka. au hiyo siyo issue kwako?
Mkuu lengo la hizi kashifa ni kumzuia asigombee tena urais na kwa hali hii tayari imetimia Trump ameshakwamishwaSasa hyo si hela yake ya mfungo wa masaa tuππππ bongo 30 years unatoka huna wajukuu
Lengo la hizi kesi za kashfa ni kumnyima fursa Trump kugombea tena urais, nyinyi hamuelewi chochoteatafilisika
Cha muhimu hafungwi.....na atagombea tena Urais.Sasa wale watakae kuja kumtetea, mteteeni tu.(Wakataa ndoa) Ila mkumbuke amekuwa akinyanyasa na Kubeza na kukebehi watu sana.
Sasa aende kutukana kwenye Social Mediaπ
πππππππππππππ.
Hata wewe utanyanyaswa vile vileSasa wale watakae kuja kumtetea, mteteeni tu.(Wakataa ndoa) Ila mkumbuke amekuwa akinyanyasa na Kubeza na kukebehi watu sana.
Sasa aende kutukana kwenye Social Media[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Mzee bado anawatu mwakani si mbaliMkuu lengo la hizi kashifa ni kumzuia asigombee tena urais na kwa hali hii tayari imetimia Trump ameshakwamishwa
ππππππLabda kwenye sayari nyingine. Hata ile ya Januari Sita. Duh
Nenda uoe ndugu.
Huyu si kichaa kama jiwe tu?Watu wa LGBTQ bwana!! Mpende msipende Trump ni raisi 2024
Wewe ndii unadharaulika sio Trump.Ati Breaking News World Wide. Unafikiri Hadharauliki....tena World wide??
Ati huyo Kidume, tsk tsk na alipe haraka asijepelekwa kwa midume.
UDOM? siendi, tubakie hapa hapa na E. Carroll Vs Tramp tsk tskNaishi na Vibaka Mkuu, wako kwa V8, hio haiwezi kuwa issue kwangu
Heee(emoji mshangao) Kumbe ilikuwa ni shutuma zilizoendeshwa Kisiasa!?Cha muhimu hafungwi.....na atagombea tena Urais.
Jikite kwenye Hoja. Mie sie niliye muhukumu. Ujifunze hivyo na sio kukurupuka tu na chuki zako binafsi sambamba na chuki za watu weusi...... sasa unakurupuka kwa jibu la swali na mtazamo wa mtu mwingine halafu unatanua na kuvimbisha mishipa ya shingo kutaka kuleta kitu ambacho hakipo! Unabisha? haya niambie ndharaulika kwa nini haswa nilicho jibu?Wewe ndii unadharaulika sio Trump.
Huna uwezo huo Ndugu. Huna and there is absolutely nothing you can do about it.πHata wewe utanyanyaswa vile vile
Huwa mnakuja na hoja zenu kuwa mambo kama hayo hayatokei kwenye Nchi mnazoziita "Zimeendelea" sasa kulikoni? Au huwa mnasema ndio "Demokrasia" asa kama Demokrasia ni Nzuri mbona mnaumuka na hukumu za mahakama zenu wenyewe? punguzeni upotoshaji basi.Lengo la hizi kesi za kashfa ni kumnyima fursa Trump kugombea tena urais, nyinyi hamuelewi chochote
Kwani unafkiri ni kesi ya kubambika? hizi kesi zinakuwa zipo lakini wakiona kuna haja ndio wanaziibua ili kutimiza malengo., Trump amepelekwa mahakamani na amekutwa na hatia. Huko kwenu munabambika tofauti ipo sanaHuwa mnakuja na hoja zenu kuwa mambo kama hayo hayatokei kwenye Nchi mnazoziita "Zimeendelea" sasa kulikoni? Au huwa mnasema ndio "Demokrasia" asa kama Demokrasia ni Nzuri mbona mnaumuka na hukumu za mahakama zenu wenyewe? punguzeni upotoshaji basi.
Hapana, Sikufikiria hivyo, wewe ndie uliyedai hivyo.Kwani unafkiri ni kesi ya kubambika?
Kesi huwa na malengo....iwe ya aina yeyote ile, na ikiwa ni kesi isiyokuwa na merit inatupwa nje. Ya Tramp ilipita, nikimaanishabilikuwa na merit sasa, Unadai Mahakama nazo zilikuwa na ajenda yao ya Kumnyima kugombea? Unataka kudai huna Imani na Mahakama aliyofikishwa Tramp? How so?hizi kesi zinakuwa zipo lakini wakiona kuna haja ndio wanaziibua ili kutimiza malengo.,
Sawa.Trump amepelekwa mahakamani na amekutwa na hatia.
Sijakuelewa, tunabambikia nini? Tofauti ni nini?Huko kwenu munabambika tofauti ipo sana