Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Hii ikija na huku kwetu itapunguza ufisadi na uonevuTrump kaingia ofisini juzi tu, lakini huko Marekani hawapoi.
Trump amewaondolea viongozi wastaafu ulinzi na kutaka jukumu hilo la ulinzi wajigharamie wenyewe.
“Nimewaondolea Ulinzi wa Kiserikali kwasababu walifanya kazi serikalini na naamini walitengeneza fedha za kutosha sana hivyo wanaweza kuajiri Walinzi wao binafsi, kufanya kazi serikalini haina maana ubaki na Walinzi maisha yako yote”
-Rais Donald Trump baada ya kuwaondolea Walinzi Viongozi mbalimbali wastaafu wa serikali ya Marekani.
Trump ana gubu kama Waswahili, hao wote aliowaondolea ulinzi ni wale waliompinga au kumkatalia mambo yake.Trump kaingia ofisini juzi tu, lakini huko Marekani hawapoi.
Trump amewaondolea viongozi wastaafu ulinzi na kutaka jukumu hilo la ulinzi wajigharamie wenyewe.
“Nimewaondolea Ulinzi wa Kiserikali kwasababu walifanya kazi serikalini na naamini walitengeneza fedha za kutosha sana hivyo wanaweza kuajiri Walinzi wao binafsi, kufanya kazi serikalini haina maana ubaki na Walinzi maisha yako yote”
-Rais Donald Trump baada ya kuwaondolea Walinzi Viongozi mbalimbali wastaafu wa serikali ya Marekani.
Trump kaingia ofisini juzi tu, lakini huko Marekani hawapoi.
Trump amewaondolea viongozi wastaafu ulinzi na kutaka jukumu hilo la ulinzi wajigharamie wenyewe.
“Nimewaondolea Ulinzi wa Kiserikali kwasababu walifanya kazi serikalini na naamini walitengeneza fedha za kutosha sana hivyo wanaweza kuajiri Walinzi wao binafsi, kufanya kazi serikalini haina maana ubaki na Walinzi maisha yako yote”
-Rais Donald Trump baada ya kuwaondolea Walinzi Viongozi mbalimbali wastaafu wa serikali ya Marekani.
Labda CCM ifie mbali.Hiyo sera ije na huku kwetu labda tutapunguza mzigo wa kodi na tozo zisizoisha
Bila kusahau na wenza wao!Hii ni nzuri.Mfano Tanzania ukiwa kiongozi kama rais,waziri mkuu,makamu,balozi,jaji,wakuu wa vyombo vya ulinzi pamoja na waliositaafu na wengine unakuwa kama mtoto mchanga.Yaani unahudumiwa Kila kitu kuanzia nyumba,magari,matibabu iwe hapa nyumbani au nje,kupewa Nchi utakayo ili ukatalii,kusomesha mtoto wako shule au chuo utakayo kama Harvard endapo mwanae atakubaliwa kwenye hicho chuo wakati huohuo halipii maji,umeme,gesi,chakula.Sasa ukijumulisha Hawa viongozi wote na waliositaafu unaona kabisa watanganyika tunakamuliwa Kodi ili kuwahudumia Hawa wakati huohuo wanapokea mshahara sijui wa kazi gani
Hili la maana kabisaTrump kaingia ofisini juzi tu, lakini huko Marekani hawapoi.
Trump amewaondolea viongozi wastaafu ulinzi na kutaka jukumu hilo la ulinzi wajigharamie wenyewe.
“Nimewaondolea Ulinzi wa Kiserikali kwasababu walifanya kazi serikalini na naamini walitengeneza fedha za kutosha sana hivyo wanaweza kuajiri Walinzi wao binafsi, kufanya kazi serikalini haina maana ubaki na Walinzi maisha yako yote”
-Rais Donald Trump baada ya kuwaondolea Walinzi Viongozi mbalimbali wastaafu wa serikali ya Marekani.
Ndo maana kiongozi wa nchi fulani ali-restishwa in peace baada ya muda mfupi kutokana na madai yake yakikuwa makubwa sana kwa serikali mara baada ya kustaafu na alitaka ahamie kwenye 'ikulu' nyingine!Ukipata madaraka ya kiserikali haugeuki kuwa mlemavu na fukara.Ni vice versa.Walijipatia fedha,wajitegemee.Hii ni tofauti kabisa na nchi ya Ukara.Wastaafu na wake zao wanageuka kuwa mizigo mizito ya miba kwa walipa kodi.
Aisee ni hatari hiyo.Ndo maana kiongozi wa nchi fulani ali-restishwa in peace baada ya muda mfupi kutokana na madai yake yakikuwa makubwa sana kwa serikali mara baada ya kustaafu na alitaka ahamie kwenye 'ikulu' nyingine!