Trump awaondolea ulinzi baadhi ya viongozi wastaafu nchini Marekani

Trump awaondolea ulinzi baadhi ya viongozi wastaafu nchini Marekani

Trump kaingia ofisini juzi tu, lakini huko Marekani hawapoi.

Trump amewaondolea viongozi wastaafu ulinzi na kutaka jukumu hilo la ulinzi wajigharamie wenyewe.

“Nimewaondolea Ulinzi wa Kiserikali kwasababu walifanya kazi serikalini na naamini walitengeneza fedha za kutosha sana hivyo wanaweza kuajiri Walinzi wao binafsi, kufanya kazi serikalini haina maana ubaki na Walinzi maisha yako yote”

-Rais Donald Trump baada ya kuwaondolea Walinzi Viongozi mbalimbali wastaafu wa serikali ya Marekani.
Kamilisha habari yako. Mike Pompeo, ana sababu za kunyimwa ulinzi.
 
Hii ni nzuri.Mfano Tanzania ukiwa kiongozi kama rais,waziri mkuu,makamu,balozi,jaji,wakuu wa vyombo vya ulinzi pamoja na waliositaafu na wengine unakuwa kama mtoto mchanga.Yaani unahudumiwa Kila kitu kuanzia nyumba,magari,matibabu iwe hapa nyumbani au nje,kupewa Nchi utakayo ili ukatalii,kusomesha mtoto wako shule au chuo utakayo kama Harvard endapo mwanae atakubaliwa kwenye hicho chuo wakati huohuo halipii maji,umeme,gesi,chakula.Sasa ukijumulisha Hawa viongozi wote na waliositaafu unaona kabisa watanganyika tunakamuliwa Kodi ili kuwahudumia Hawa wakati huohuo wanapokea mshahara sijui wa kazi gani
wajinga ndiwo waliwao , tumelala , wasyria waliamka wakamwondosha Assad sisi tumekaa kama kuku waliomwagiwa maji
 
wajinga ndiwo waliwao , tumelala , wasyria waliamka wakamwondosha Assad sisi tumekaa kama kuku waliomwagiwa maji
sasa kama we kidume nani anakuzuia c utafute wahuni wenzio afu mjongee pale magogoni mkamtoe samia na ccm yake
hatutaki fujo zenu sisi umechoka kuishi nchi mama tanzania nzuri na ya kupendeza toka nenda huko congo au somalia
 
sasa kama we kidume nani anakuzuia c utafute wahuni wenzio afu mjongee pale magogoni mkamtoe samia na ccm yake
hatutaki fujo zenu sisi umechoka kuishi nchi mama tanzania nzuri na ya kupendeza toka nenda huko congo au somaliu

Usipige kelele watu wakipiga pesa, wacha mpaka hawara zao walipiwe
 
Trump kaingia ofisini juzi tu, lakini huko Marekani hawapoi.

Trump amewaondolea viongozi wastaafu ulinzi na kutaka jukumu hilo la ulinzi wajigharamie wenyewe.

“Nimewaondolea Ulinzi wa Kiserikali kwasababu walifanya kazi serikalini na naamini walitengeneza fedha za kutosha sana hivyo wanaweza kuajiri Walinzi wao binafsi, kufanya kazi serikalini haina maana ubaki na Walinzi maisha yako yote”

-Rais Donald Trump baada ya kuwaondolea Walinzi Viongozi mbalimbali wastaafu wa serikali ya Marekani.
Safi hivyo ndivyo inavyo takiwa kuwa.
 
Hii ni nzuri.Mfano Tanzania ukiwa kiongozi kama rais,waziri mkuu,makamu,balozi,jaji,wakuu wa vyombo vya ulinzi pamoja na waliositaafu na wengine unakuwa kama mtoto mchanga.Yaani unahudumiwa Kila kitu kuanzia nyumba,magari,matibabu iwe hapa nyumbani au nje,kupewa Nchi utakayo ili ukatalii,kusomesha mtoto wako shule au chuo utakayo kama Harvard endapo mwanae atakubaliwa kwenye hicho chuo wakati huohuo halipii maji,umeme,gesi,chakula.Sasa ukijumulisha Hawa viongozi wote na waliositaafu unaona kabisa watanganyika tunakamuliwa Kodi ili kuwahudumia Hawa wakati huohuo wanapokea mshahara sijui wa kazi gani
Ni ujinga sana Tena kama hapa kwetu nchini ukara ndo hovyo kabisa,

Tubadili katiba kwanza katiba mpya ni sasa.💯✅
 
Trump kama Magu anapenda kuvuruga mambo

Inshu ya wafungwa waliobadili jinsia ya kike kupelekwa magereza ya kiume sjui aliwaza nn
 
Usipige kelele watu wakipiga pesa, wacha mpaka hawara zao walipiwe
wacha wapige pesa hata kama wakiiba hata we ukiwekwa kwenye hizo nafasi utpiga hela
mradi tunafurahia nchi yetu pendwa hatutaki vita na fujo
we nenda huko ukrain kama unataka vita na fujo kapigane huko
 
Hapa bongo zingeanza kelele za trump ni dikteta 😂
 
Safi sana na huku kwetu waige kwa trump

viongozi wengi tunawalea kwa kodi zetu!
 
Trump kaingia ofisini juzi tu, lakini huko Marekani hawapoi.

Trump amewaondolea viongozi wastaafu ulinzi na kutaka jukumu hilo la ulinzi wajigharamie wenyewe.

“Nimewaondolea Ulinzi wa Kiserikali kwasababu walifanya kazi serikalini na naamini walitengeneza fedha za kutosha sana hivyo wanaweza kuajiri Walinzi wao binafsi, kufanya kazi serikalini haina maana ubaki na Walinzi maisha yako yote”

-Rais Donald Trump baada ya kuwaondolea Walinzi Viongozi mbalimbali wastaafu wa serikali ya Marekani.
Huo ulinzi si upo kikatiba inakuwaje nchi tunayoaminishwa kuw ina taasis na wala sio mtu rais anaamua tu kila kitu
 
Bahati nzuri government Institutions ziko huru, mtu akienda mahakamani upuuzi huo utapigwa chni
 
wacha wapige pesa hata kama wakiiba hata we ukiwekwa kwenye hizo nafasi utpiga hela
mradi tunafurahia nchi yetu pendwa hatutaki vita na fujo
we nenda huko ukrain kama unataka vita na fujo kapigane huko

Sasa kelele za nini kuja kulalamika JF si tuwaache wapige pesa ??
 
Back
Top Bottom