Trump awaondolea ulinzi baadhi ya viongozi wastaafu nchini Marekani

Kamilisha habari yako. Mike Pompeo, ana sababu za kunyimwa ulinzi.
 
wajinga ndiwo waliwao , tumelala , wasyria waliamka wakamwondosha Assad sisi tumekaa kama kuku waliomwagiwa maji
 
wajinga ndiwo waliwao , tumelala , wasyria waliamka wakamwondosha Assad sisi tumekaa kama kuku waliomwagiwa maji
sasa kama we kidume nani anakuzuia c utafute wahuni wenzio afu mjongee pale magogoni mkamtoe samia na ccm yake
hatutaki fujo zenu sisi umechoka kuishi nchi mama tanzania nzuri na ya kupendeza toka nenda huko congo au somalia
 
sasa kama we kidume nani anakuzuia c utafute wahuni wenzio afu mjongee pale magogoni mkamtoe samia na ccm yake
hatutaki fujo zenu sisi umechoka kuishi nchi mama tanzania nzuri na ya kupendeza toka nenda huko congo au somaliu

Usipige kelele watu wakipiga pesa, wacha mpaka hawara zao walipiwe
 
Safi hivyo ndivyo inavyo takiwa kuwa.
 
Ni ujinga sana Tena kama hapa kwetu nchini ukara ndo hovyo kabisa,

Tubadili katiba kwanza katiba mpya ni sasa.💯✅
 
Trump kama Magu anapenda kuvuruga mambo

Inshu ya wafungwa waliobadili jinsia ya kike kupelekwa magereza ya kiume sjui aliwaza nn
 
Usipige kelele watu wakipiga pesa, wacha mpaka hawara zao walipiwe
wacha wapige pesa hata kama wakiiba hata we ukiwekwa kwenye hizo nafasi utpiga hela
mradi tunafurahia nchi yetu pendwa hatutaki vita na fujo
we nenda huko ukrain kama unataka vita na fujo kapigane huko
 
Hapa bongo zingeanza kelele za trump ni dikteta 😂
 
Safi sana na huku kwetu waige kwa trump

viongozi wengi tunawalea kwa kodi zetu!
 
Huo ulinzi si upo kikatiba inakuwaje nchi tunayoaminishwa kuw ina taasis na wala sio mtu rais anaamua tu kila kitu
 
Bahati nzuri government Institutions ziko huru, mtu akienda mahakamani upuuzi huo utapigwa chni
 
wacha wapige pesa hata kama wakiiba hata we ukiwekwa kwenye hizo nafasi utpiga hela
mradi tunafurahia nchi yetu pendwa hatutaki vita na fujo
we nenda huko ukrain kama unataka vita na fujo kapigane huko

Sasa kelele za nini kuja kulalamika JF si tuwaache wapige pesa ??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…