Trump Confirms Plans for Mombasa - Nairobi Superhighway (VIDEO)

Mtanzania anaongea ujinga na upuuzi na dharau kuhusu nchi yake na viongozi wake kwenye jukwaa la wakenya na wakenya wanampa LIKES, na anajiona mjanja kuwa wakenya wanampenda ila cha ajabu huyo huyo mtanzania licha ya kuona mapungufu ya nchi ya Kenya ila HAJAWAHI kuwaona wakenya wakiinanga nchi yao. Ni maajabu mengine ya watanzania.!
Kuthibitisha point yangu hii kuhusu ulemavu wa akili wa kudumu wa baadhi ya watanzania, mtanzania atanitolea povu hapa.
Povu ruksa.
 
Shida iko wapi kukosoa. Hakuna kosa kukosoa serikali ama kiongonzi, hio ni demokraisa.
Free your mind from mental slavery
 
Shida iko wapi kukosoa. Hakuna kosa kukosoa serikali ama kiongonzi, hio ni demokraisa.
Free your mind from mental slavery
Kuna mahali nimesema HAWARUHUSIWI kukosoa? Kikubwa kama wewe ni mtanzania, JIFUNZE KWA WAKENYA, ni hayo tu. Mwenye akili atakuwa kanielewa.
 
aliyeko nyuma ya pazia atwambie kuna mapambo gani huko maana haya makubaliano na full of sweet promises haviji hivihivi
 
Maghu-FOOL will never get this opportunity..
Kwanza mahali kama hapo sijui ataongea nini..ze ze ze ze ze..
Yeye ni M7 na PK mpaka afe.
Wewe ni zezeta kweli kweli
HAPO LIJAMAA LINADANGANYWA KAMA TOTO DOGO!
KWANI MA RAIS WANGAPI WALIKUTANA NA HIYO MIJITU NA WAKA AHIDI AHADI HEWA!
NYINYI VIBARAKA MSIO KUWA NA ARDHI MNAMATATIZO YA AKILI KWA KWELI
JUZI LIJAMAA LIMEKUTUKANA LEO UNAPELEKA MAKALIO KWAKE TOTALLY IMBECILE WALAHI
That’s all
 
Baba mzuri si yule anayekaa na watoto nyumbani ili awalee ila ni yule anayetoka na kuleta mahitajj muhimu kwa watoto wake. Over

Sent using Jamii Forums mobile app
Wangapi walikwenda na pakawa patupu?
Sana sana wanafundishwa jinsi ya kuweka pesa za uwizi kwao!
MFALME HATANGI TANGI OVYO!
Unasikia kijana mdogo!
 
aliyeko nyuma ya pazia atwambie kuna mapambo gani huko maana haya makubaliano na full of sweet promises haviji hivihivi
MANENO MATUPU
MAKUNYA NI MAZEZETA KWELI KWELI WALAHI
 
Bakuli la misaada limejaa halijaa?

Funny, reports couldn't care less about Kenya, all they want to know is Trump's thought about John McCain's passing.
Wacha wivu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…