Trump hatashinda japo na Kamala Harris hatauweza urais wa Marekani kipindi ambapo taifa hilo linadidimia

Trump hatashinda japo na Kamala Harris hatauweza urais wa Marekani kipindi ambapo taifa hilo linadidimia

Asante kwa uzi,hizo siasa za ubaguzi na kuitenga Marekani na jumuia za kimataifa ndiyo zilizompa uraisi Trump kwenye ule uchaguzi aliopita,halafu hiyo point ya mwisho hapo uliyoielezea kuhusu udhaifu wa raisi mwanamke kwenye siasa za dunia ambazo kwa sasa zimegubikwa na vita na migogoro mikubwa isioisha,zilimuangusha pia Hilary Clinton na Trump akapeta,Marekani bado haipo tayari kutawaliwa na raisi mwanamke,Kuna undi kubwa la wapiga kura ambao wana hiyo mentality ya kutaka Marekani iendelee kuwa mbabe duniani wanahitaji Kiongizi kama Trump,kwa Mimi binafsi na uzoefu wangu wa kufuatilia chaguzi mbalimbali duniani,namuona Trump akirejea madarakani na Chama chake cha Republican,japo hayo siyo matarajio ya watu waliowengi duniani.
Jambo jengine linalonishawishi kushindwa kwa Trum ni kwamba idadi kubwa ya wamarekani wamepigika kimaisha sasa mambo ya kuendelea kuwa taifa kubwa na mbabe kama anavyotaka Trum hayaingii sana akilini mwao kuliko matumbo yao.
 
Kamala huenda historia ikaja kumuandika kama ndie rahisi alofiwa na Americant mikononimwe

Ila usilolijua ama umelisahau nikwamba kura za marekani hazichaguliwi na raia wamarekani kama ulivyoandika hapo

Wamarekani zaidi ya 200M+ sijui 300M+ wanachaguliwa ama wanateuliwa rais wao na kakikundi chawatu tu hawazidi hata mia nne(400) sijui mia tano (500)

Moja ya nchi inayotakiwa kufunzwa kuhisiana na demokrasia basi marekani inatakiwa iende ikajifunze demokrasia hata kwa Zimbabwe au Venezuela
Bado hujaelewa mtindo wa kura za marekani. Zile hao wajumbe wanatokana na mtiririko wa ushindi ulioupta kwenye majimbo husika. So usiposhinda inakuwa ngumu kupata hyo support.
 
Bado hujaelewa mtindo wa kura za marekani. Zile hao wajumbe wanatokana na mtiririko wa ushindi ulioupta kwenye majimbo husika. So usiposhinda inakuwa ngumu kupata hyo support.
Kwa mitindo yote uwezekano wa Trump kushinda ni mdogo sana.Kila kitu kinamkataa
 
Baada ya kufuatilia kwa makini mkutano mkuu wa Democratic na kampeni za Donald Trump nimegundua kwamba Trump hatoweza tena kamwe kuupata uraisi wa Marekani anaoutamani.
Historia ya maisha yake ya kihuni na kupenda ubaguzi pamoja na uadui kwa waislamu hautamuwezesha Donald Trump kurudia kwenye kiti cha uraisi.Wamarekani wanaompinga wakiwemo wa rangi mbali mbali na wahamiajia hawatampigia kura kabisa.
Trump atabaki na kundi la wabaguzi wa rangi ambao hawatotosha kumpatia kura za uraisi.
Kwa maana hiyo Kamalla Harris ndiye atakayekuwa mshindi wa kiti hicho,kwanza kwa vile ni mwanamke na enzi hizi wanawake ni wengi sana kwenye chaguzi za mataifa mengi na ni rahisi kushawishika na vitu ambavyo si rahisi kuwapata wanaume.
Vile vile Kamalla ni Mmarekani mwenye asili ya nje ambapo katika Marekani idadi ya watu hao ni wengi sana.Waliotokea Afrika,America kusini,China na bara hindi.Wote hao ni wapiga kura wake.
Wapiga kura waislamu japo sio wengi lakini wote pamoja na matatizo ya viongozi wa Democratic akiwemo raisi wa sasa Biden kujipendekeza kwa mayahudi,pamoja na hivyo Trump anaonekana ni hatari zaidi kwao kuliko Kamalla.
Tukija upande wa Kamalla ambaye ana asilimia kubwa za kushinda.Jee atauweza uraisi huo wakati taifa hilo liko kwenye hali mbaya za kiuchumi na liko mbioni kuzama .Uadui na mataifa makubwa kama Urusi na China pamoja na vita vya Gaza ni majukumu ambayo huwa ni mazito kwa raisi mwanamke.
Kwa namna yoyote ile kinachoendelea kwa Marekani kwa sasa ni tope ambalo hatimaye litaizamisha na kuwa nafuu kwa dunia nzima baada ya taifa hilo kufanya jeuri na kufuru kwa muda mrefu duniani.
Kumbuka haya nikuandikiayo Leo TRUMP NDIYE RAIS AJEYE MAREKANI
 
Baada ya kufuatilia kwa makini mkutano mkuu wa Democratic na kampeni za Donald Trump nimegundua kwamba Trump hatoweza tena kamwe kuupata uraisi wa Marekani anaoutamani.
Historia ya maisha yake ya kihuni na kupenda ubaguzi pamoja na uadui kwa waislamu hautamuwezesha Donald Trump kurudia kwenye kiti cha uraisi.Wamarekani wanaompinga wakiwemo wa rangi mbali mbali na wahamiajia hawatampigia kura kabisa.
Trump atabaki na kundi la wabaguzi wa rangi ambao hawatotosha kumpatia kura za uraisi.
Kwa maana hiyo Kamalla Harris ndiye atakayekuwa mshindi wa kiti hicho,kwanza kwa vile ni mwanamke na enzi hizi wanawake ni wengi sana kwenye chaguzi za mataifa mengi na ni rahisi kushawishika na vitu ambavyo si rahisi kuwapata wanaume.
Vile vile Kamalla ni Mmarekani mwenye asili ya nje ambapo katika Marekani idadi ya watu hao ni wengi sana.Waliotokea Afrika,America kusini,China na bara hindi.Wote hao ni wapiga kura wake.
Wapiga kura waislamu japo sio wengi lakini wote pamoja na matatizo ya viongozi wa Democratic akiwemo raisi wa sasa Biden kujipendekeza kwa mayahudi,pamoja na hivyo Trump anaonekana ni hatari zaidi kwao kuliko Kamalla.
Tukija upande wa Kamalla ambaye ana asilimia kubwa za kushinda.Jee atauweza uraisi huo wakati taifa hilo liko kwenye hali mbaya za kiuchumi na liko mbioni kuzama .Uadui na mataifa makubwa kama Urusi na China pamoja na vita vya Gaza ni majukumu ambayo huwa ni mazito kwa raisi mwanamke.
Kwa namna yoyote ile kinachoendelea kwa Marekani kwa sasa ni tope ambalo hatimaye litaizamisha na kuwa nafuu kwa dunia nzima baada ya taifa hilo kufanya jeuri na kufuru kwa muda mrefu duniani.
Trump ndiye raisi ajaye marekani tarehe ya Leo ikumbuke ndugu. Yes umechambua kwa maoni yako ila ktk maono ni tofauti 2025 Trump is going to be elect as the USA PRESIDENT
 
Trump ndiye raisi ajaye marekani tarehe ya Leo ikumbuke ndugu. Yes umechambua kwa maoni yako ila ktk maono ni tofauti 2025 Trump is going to be elect as the USA PRESIDENT
Umezungumzia kwa hisia na mapenzi yako ingawaje hali inavyoonesha Trump hakubaliki na wastaafu wa Marekani wa vyama vyote na wapiga kura wake ni wachache sana miongoni mwa wabaguzi wa rangi na wahuni wengine.
 
Back
Top Bottom