Trump kamfukuza aliyekuwa mkuu wa Coastguard kwenye kota za Serikali kama mbwa

Trump kamfukuza aliyekuwa mkuu wa Coastguard kwenye kota za Serikali kama mbwa

Aliyekuwa mkuu wa CoastGuard Commandment Marekani Linda Fagan ( four star admiral) kafukuzwa kwenye kota za Serikali kwa kupewa notice ya masaa matatu.

Linda ambaye alitenguliwa na Trump kwenye nafasi yake siku mbili tu baada ya kuapishwa kuwa rais wiki mbili zilizopita alipewa siku 60 kujiandaa kuondoka Kwenye makazi hayo ya Serikali kwa mujibu wa sheria.

Cha kushangaza jana maafisa wa Serikali walimpa notice ya masaa matatu tu awe ameeondoka.

Kuwauliza kwanini wanamfanyia hivyo wakati ni kinyume cha sheria. Wakamjibu Trump hataki aishi hapo.

Linda Fagan ambaye ni msagaji na anatetea diversity alikuwa mpinzani na mpingaji mkubwa wa Trump.

Na Trump aliahidi akiwa rais atamfukuza kazi.

View attachment 3227502
✌️
 
Kibongo Bongo, Trump angeitwa dikteta 😂

Anyway, mm namuunga mkono bro Trump kwa yote anayofanya kama ambavyo nilivyokuwa namuunga mkono JPM kwa yote aliyokuwa anafanya 😎

..hata bongo wanadai nanihii ni msagaji.
 
Kama alikuwa anasaga wenzake.

Siwezi muonea huruma.

Afukuzwe shetani wa kike huyo.
 
Trump aliwaahidi Evangelical Christian Churches of America ambao siku zote ndio wamekua walimpigia debe ya urais kwamba akishinda urais atairejesha Marekani katika misingi ya ukristo ambao ndio ulikuwa nguzo kuu ya uanzishwaji wa taifa hilo.

So that's what he is now doing.
 
Oya Jombi video hizi mods wanachukua utapewa mashtaka ya uchokozi wa kidini na kuhamasisha ushoga na kusababisha kula ban.
Wewe mwenyewe ndio mod 😂😂😂😂 unajifanya sijui nini

Unaendelea kugawa sio tu hamas hadi mods
 
Kibongo Bongo, Trump angeitwa dikteta 😂

Anyway, mm namuunga mkono bro Trump kwa yote anayofanya kama ambavyo nilivyokuwa namuunga mkono JPM kwa yote aliyokuwa anafanya 😎
Sisi CHADEMA tutatoa matamko, tumemtuma nyigu wa nyika kwanza, halafu Mh. Lissu atatoa neno?

nakubali tu tuna unafiki na unduminakuwili. huyo mama katumbuliwa haswa.🤣🤣🤣🤣🤣💯
 
Back
Top Bottom