The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
- Thread starter
-
- #21
Unamaanisha anafanana kama hawa wanaokata mauno hadharani?Ukimtazama Trump upande wa mashoga na usagaji utasema kweli mtu wa Mungu lakini ukimsikiliza upande wa Palestina unaona kabisa ni jirani w shetani kabisa
Oya Jombi video hizi mods wanachukua utapewa mashtaka ya uchokozi wa kidini na kuhamasisha ushoga na kusababisha kula ban.Unamaanisha anafanana kama hawa wanaokata mauno hadharani?
View: https://youtube.com/shorts/j3PjJ6nhQGo?si=lI1AdaVxAHZNsh8O
hydroxo
Nyau de adriz
kwani kuhusu huko Palestina kasemajeUkimtazama Trump upande wa mashoga na usagaji utasema kweli mtu wa Mungu lakini ukimsikiliza upande wa Palestina unaona kabisa ni jirani w shetani kabisa
Magaidi sio wa kucheka naoUkimtazama Trump upande wa mashoga na usagaji utasema kweli mtu wa Mungu lakini ukimsikiliza upande wa Palestina unaona kabisa ni jirani w shetani kabisa
βοΈAliyekuwa mkuu wa CoastGuard Commandment Marekani Linda Fagan ( four star admiral) kafukuzwa kwenye kota za Serikali kwa kupewa notice ya masaa matatu.
Linda ambaye alitenguliwa na Trump kwenye nafasi yake siku mbili tu baada ya kuapishwa kuwa rais wiki mbili zilizopita alipewa siku 60 kujiandaa kuondoka Kwenye makazi hayo ya Serikali kwa mujibu wa sheria.
Cha kushangaza jana maafisa wa Serikali walimpa notice ya masaa matatu tu awe ameeondoka.
Kuwauliza kwanini wanamfanyia hivyo wakati ni kinyume cha sheria. Wakamjibu Trump hataki aishi hapo.
Linda Fagan ambaye ni msagaji na anatetea diversity alikuwa mpinzani na mpingaji mkubwa wa Trump.
Na Trump aliahidi akiwa rais atamfukuza kazi.
View attachment 3227502
Kibongo Bongo, Trump angeitwa dikteta π
Anyway, mm namuunga mkono bro Trump kwa yote anayofanya kama ambavyo nilivyokuwa namuunga mkono JPM kwa yote aliyokuwa anafanya π
Em niache, mm sina mwanasheria π..hata bongo wanadai nanihii ni msagaji.
Wewe mwenyewe ndio mod ππππ unajifanya sijui niniOya Jombi video hizi mods wanachukua utapewa mashtaka ya uchokozi wa kidini na kuhamasisha ushoga na kusababisha kula ban.
Sisi CHADEMA tutatoa matamko, tumemtuma nyigu wa nyika kwanza, halafu Mh. Lissu atatoa neno?Kibongo Bongo, Trump angeitwa dikteta π
Anyway, mm namuunga mkono bro Trump kwa yote anayofanya kama ambavyo nilivyokuwa namuunga mkono JPM kwa yote aliyokuwa anafanya π
HahahahUkimtazama Trump upande wa mashoga na usagaji utasema kweli mtu wa Mungu lakini ukimsikiliza upande wa Palestina unaona kabisa ni jirani w shetani kabisa