Trump kasema Balozi zote za Marekani zipunguze Wafanyakazi

Trump kasema Balozi zote za Marekani zipunguze Wafanyakazi

Mtambachuo

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2023
Posts
1,907
Reaction score
3,560
MAKING AMERICA GREAT AGAIN.

Trump ameamua hakuna kulala mpaka kieleweke.

Ikiwa bado suala la USAID linafukuta, Raisi wa Marekani
Donald Trump amesema balozi zote za Marekani nchi mbalimbali
zijiandae kupunguza wafanyakazi kwa asilimia 10. Hii ni inajumuisha
wale wa marekani na waliojiriwa kutoka nchi mahalia (local)

Huu upepo ukiendelea naona mpaka nchi nyingine kama za Ulaya zifuata
kubana matumizi na mambo yatakuuwa mabaya zaidi.

Poleni mtakao kumbwa na hili. Huwa nasikia watu wanavyosema
kwa madaha " Mimi nafanya kazi ubalozi 🤣"
 

Attachments

Trump ameamua hakuna kulala mpaka kieleweke.

Ikiwa bado suala la USAID linafukuta, Raisi wa Marekani
Donald Trump amesema balozi zote za Marekani nchi mbalimbali
zijiandae kupunguza wafanyakazi kwa asilimia 10. Hii ni inajumuisha
wale wa marekani na waliojiriwa kutoka nchi mahalia (local)

Huu upepo ukiendelea naona mpaka nchi nyingine kama za Ulaya zifuata
kubana matumizi na mambo yatakuuwa mabaya zaidi.

Poleni mtakao kumbwa na hili. Huwa nasikia watu wanavyosema
kwa madaha " Mimi nafanya kazi ubalozi 🤣"
Trump akipewa muda anaweza, Nina Imani Kuna wamarekani hawapendezwi na anachofanya.
 
Matajiri wanabana matumizi ila kuna bibi yetu mmoja kutoka Zanzibar na umasikini tulionao kwa kutapanya pesa hajambo...

JPM ni kama alikuwa mbele ya muda..
Magufuli alibana matumizi sehemu moja akapeleka hizo fedha sehemu nyingine kutapanya. Ila Tanzania ikipata uongozi na kuamua kupunguza matumizi ya kifahari, (siyo kubana matumizi), zitapatikana fedha nyingi sana. Yes, ni kupunguza matumizi ya kifahari na siyo kubana matumizi. Hatua ya kubana matumizi itafuatia baada ya kupunguza ya kifahari. Fikiria viongozi kama kina Makonda wanasafiri kwa busines class. Magari ya kifahari. Wabunge wasio na kazi. Yaani tuna area nyingi sana za kubana matumizi.
 
MAKING AMERICA GREAT AGAIN.

Trump ameamua hakuna kulala mpaka kieleweke.

Ikiwa bado suala la USAID linafukuta, Raisi wa Marekani
Donald Trump amesema balozi zote za Marekani nchi mbalimbali
zijiandae kupunguza wafanyakazi kwa asilimia 10. Hii ni inajumuisha
wale wa marekani na waliojiriwa kutoka nchi mahalia (local)

Huu upepo ukiendelea naona mpaka nchi nyingine kama za Ulaya zifuata
kubana matumizi na mambo yatakuuwa mabaya zaidi.

Poleni mtakao kumbwa na hili. Huwa nasikia watu wanavyosema
kwa madaha " Mimi nafanya kazi ubalozi 🤣"
Mdogo mdogo tutapata somo walala fofofo na wachakachua chaguzi ili kupata mbumbumbu.
 
Back
Top Bottom