Huu muhula Trump kaja kivingine kabisa. USA kwanza.MAKING AMERICA GREAT AGAIN.
Trump ameamua hakuna kulala mpaka kieleweke.
Ikiwa bado suala la USAID linafukuta, Raisi wa Marekani
Donald Trump amesema balozi zote za Marekani nchi mbalimbali
zijiandae kupunguza wafanyakazi kwa asilimia 10. Hii ni inajumuisha
wale wa marekani na waliojiriwa kutoka nchi mahalia (local)
Huu upepo ukiendelea naona mpaka nchi nyingine kama za Ulaya zifuata
kubana matumizi na mambo yatakuuwa mabaya zaidi.
Poleni mtakao kumbwa na hili. Huwa nasikia watu wanavyosema
kwa madaha " Mimi nafanya kazi ubalozi 🤣"
Wanaenda kujitafuta mkuu,afu mkuu unazinguaSafi sana, asitishe na wazururaji kwendà kuzurura huko.
kweli kabisa.Itakuwa ngumu sana kukamilika.
Trump atafilisi hawa waliokuwa wanapanda ndege wakirudi wanatusimulia kuna hela nyingi sana huko nje.MAKING AMERICA GREAT AGAIN.
Trump ameamua hakuna kulala mpaka kieleweke.
Ikiwa bado suala la USAID linafukuta, Raisi wa Marekani
Donald Trump amesema balozi zote za Marekani nchi mbalimbali
zijiandae kupunguza wafanyakazi kwa asilimia 10. Hii ni inajumuisha
wale wa marekani na waliojiriwa kutoka nchi mahalia (local)
Huu upepo ukiendelea naona mpaka nchi nyingine kama za Ulaya zifuata
kubana matumizi na mambo yatakuuwa mabaya zaidi.
Poleni mtakao kumbwa na hili. Huwa nasikia watu wanavyosema
kwa madaha " Mimi nafanya kazi ubalozi 🤣"
ndio mkuu, viongozi ni wabinafsi, hawafikirii kesho, wanawaza kuhusu watoto wao na familia zao.Magufuli alibana matumizi sehemu moja akapeleka hizo fedha sehemu nyingine kutapanya. Ila Tanzania ikipata uongozi na kuamua kupunguza matumizi ya kifahari, (siyo kubana matumizi), zitapatikana fedha nyingi sana. Yes, ni kupunguza matumizi ya kifahari na siyo kubana matumizi. Hatua ya kubana matumizi itafuatia baada ya kupunguza ya kifahari. Fikiria viongozi kama kina Makonda wanasafiri kwa busines class. Magari ya kifahari. Wabunge wasio na kazi. Yaani tuna area nyingi sana za kubana matumizi.