Trump kukoswa na Risasi ilikuwa ni bahati ama mkono wa Mungu?

Trump kukoswa na Risasi ilikuwa ni bahati ama mkono wa Mungu?

wastani kwa idadi

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2024
Posts
503
Reaction score
1,432
Sekunde kabla risasi haijafyatuliwa Trump aligeuza kichwa kuangalia kulia, Risasi iliyolengwa kupenya ndani ya kichwa chake ikamkwaruza sikio, Chupu chupu.

PIA SOMA
- Marekani: Donald Trump ajeruhiwa kwa risasi akihutubia mkutano wa hadhara

1721080736113.png
 
"God created only two genders"; ni maneno yake mwenyewe kwenye mkutano mwingine somewhere just less than a week kabla ya tukio la kupigwa risasi.

Kwa hakika Mungu alichungulia duniani akaona yupo aisemaye kweli hadharani bila woga kati ya waovu.

Mungu hutenda kazi zake kwa namna ya ajabu kabisa! Kwa jinsi isiyodhaniwa, Mungu hufanya miujiza!
 
"God created only two genders"; ni maneno yake mwenyewe kwenye mkutano mwingine somewhere just less than a week kabla ya tukio la kupigwa risasi.

Kwa hakika Mungu alichungulia duniani akaona yupo aisemaye kweli hadharani bila woga kati ya waovu.

Mungu hutenda kazi zake kwa namna ya ajabu kabisa! Kwa jinsi isiyodhaniwa, Mungu hufanya miujiza!
Kwa hakika umenena vema Mtumishi wa Mungu. Kwa upande wa Joe Biden, Mungu anamuadhibu kwasababu amechukizwa na matendo yake hasa ya kuueneza na kuunga mkono ushoga na kushabikia na kutaka kuiangamiza Dunia ambapo ndipo Mungu anaweka miguu yake. Ndio maana muda wote anaweweseka kama vile anajenga Mnara wa Babeli. Kwa uzee wa miaka 81 hakupaswa kuwa anapoteza kumbukumbu ya vitu vya kawaida kama kukosea majina ya watu na vyeo vyao.
 
"God created only two genders"; ni maneno yake mwenyewe kwenye mkutano mwingine somewhere just less than a week kabla ya tukio la kupigwa risasi.

Kwa hakika Mungu alichungulia duniani akaona yupo aisemaye kweli hadharani bila woga kati ya waovu.

Mungu hutenda kazi zake kwa namna ya ajabu kabisa! Kwa jinsi isiyodhaniwa, Mungu hufanya miujiza!
Mpaka hapa kuna mipagani bado haiamini kuwa ni kazi ya Mungu Mkuu
 
Kwa hakika umenena vema Mtumishi wa Mungu. Kwa upande wa Joe Biden, Mungu anamuadhibu kwasababu amechukizwa na matendo yake hasa ya kuueneza na kuunga mkono ushoga na kushabikia na kutaka kuiangamiza Dunia ambapo ndipo Mungu anaweka miguu yake. Ndio maana muda wote anaweweseka kama vile anajenga Mnara wa Babeli. Kwa uzee wa miaka 81 hakupaswa kuwa anapoteza kumbukumbu ya vitu vya kawaida kama kukosea majina ya watu na vyeo vyao.
Afe kabisa
 
Sekunde kabla risasi haijafyatuliwa Trump aligeuza kichwa kuangalia kulia, Risasi iliyolengwa kupenya ndani ya kichwa chake ikamkwaruza sikio, Chupu chupu.

PIA SOMA
- Marekani: Donald Trump ajeruhiwa kwa risasi akihutubia mkutano wa hadhara

View attachment 3043498
Haikua BAHATI wala haikua MKONO WA MUNGU........ it called coincidence

Trump sio sanamu kusema lipo sehemu fixed
Trump kugeuza shingo ilikua ni natural behavior kwa binadamu yeyote

Maajabu yangekua ni risasi kumpiga kisha ikadunda kama kitenesi 😂
 
Dunia imeumbwa na mungu
Trump na alietaka kumuua wameumbwa na mungu
Kuwa na bahati au kutokuwa nayo ni kazi ya mungu

Kukoswa na risasi ni kazi ya mungu na ingempata ingekuwa kazi ya mungu maana ndo aina ya kifo ambacho angekuwa ameandikiwa na mungu

Mambo ya mungu ni mvurugano sana kuyaelewa aisee😀😀
 
Back
Top Bottom