wastani kwa idadi
JF-Expert Member
- Jun 28, 2024
- 503
- 1,432
Yaani bila kugeuza shingo ni aidha kungekuwa na msibaLucky
Kabisaa,..hyo inaitwa ameponea chupuchupu.Yaani bila kugeuza shingo ni aidha kungekuwa na msiba
Mkono wa Mungu aliye hai.Sekunde kabla risasi haijafyatuliwa Trump aligeuza kichwa kuangalia kulia, Risasi iliyolengwa kupenya ndani ya kichwa chake ikamkwaruza sikio, Chupu chupu.
PIA SOMA
- Marekani: Donald Trump ajeruhiwa kwa risasi akihutubia mkutano wa hadhara
View attachment 3043498
Kwa hakika umenena vema Mtumishi wa Mungu. Kwa upande wa Joe Biden, Mungu anamuadhibu kwasababu amechukizwa na matendo yake hasa ya kuueneza na kuunga mkono ushoga na kushabikia na kutaka kuiangamiza Dunia ambapo ndipo Mungu anaweka miguu yake. Ndio maana muda wote anaweweseka kama vile anajenga Mnara wa Babeli. Kwa uzee wa miaka 81 hakupaswa kuwa anapoteza kumbukumbu ya vitu vya kawaida kama kukosea majina ya watu na vyeo vyao."God created only two genders"; ni maneno yake mwenyewe kwenye mkutano mwingine somewhere just less than a week kabla ya tukio la kupigwa risasi.
Kwa hakika Mungu alichungulia duniani akaona yupo aisemaye kweli hadharani bila woga kati ya waovu.
Mungu hutenda kazi zake kwa namna ya ajabu kabisa! Kwa jinsi isiyodhaniwa, Mungu hufanya miujiza!
what has not happened, was never meant to happen
Mpaka hapa kuna mipagani bado haiamini kuwa ni kazi ya Mungu Mkuu"God created only two genders"; ni maneno yake mwenyewe kwenye mkutano mwingine somewhere just less than a week kabla ya tukio la kupigwa risasi.
Kwa hakika Mungu alichungulia duniani akaona yupo aisemaye kweli hadharani bila woga kati ya waovu.
Mungu hutenda kazi zake kwa namna ya ajabu kabisa! Kwa jinsi isiyodhaniwa, Mungu hufanya miujiza!
Vipi kuhusu wale wanaodaiwa kuuwawa na risasi katika hilo tukio? Haikuwa na kazi ya Mungu?Mpaka hapa kuna mipagani bado haiamini kuwa ni kazi ya Mungu Mkuu
Afe kabisaKwa hakika umenena vema Mtumishi wa Mungu. Kwa upande wa Joe Biden, Mungu anamuadhibu kwasababu amechukizwa na matendo yake hasa ya kuueneza na kuunga mkono ushoga na kushabikia na kutaka kuiangamiza Dunia ambapo ndipo Mungu anaweka miguu yake. Ndio maana muda wote anaweweseka kama vile anajenga Mnara wa Babeli. Kwa uzee wa miaka 81 hakupaswa kuwa anapoteza kumbukumbu ya vitu vya kawaida kama kukosea majina ya watu na vyeo vyao.
Duuh hatari sanaSekunde kabla risasi haijafyatuliwa Trump aligeuza kichwa kuangalia kulia, Risasi iliyolengwa kupenya ndani ya kichwa chake ikamkwaruza sikio, Chupu chupu.
PIA SOMA
- Marekani: Donald Trump ajeruhiwa kwa risasi akihutubia mkutano wa hadhara
View attachment 3043498
Haikua BAHATI wala haikua MKONO WA MUNGU........ it called coincidenceSekunde kabla risasi haijafyatuliwa Trump aligeuza kichwa kuangalia kulia, Risasi iliyolengwa kupenya ndani ya kichwa chake ikamkwaruza sikio, Chupu chupu.
PIA SOMA
- Marekani: Donald Trump ajeruhiwa kwa risasi akihutubia mkutano wa hadhara
View attachment 3043498
Simuamini Traamp ni msaniiSekunde kabla risasi haijafyatuliwa Trump aligeuza kichwa kuangalia kulia, Risasi iliyolengwa kupenya ndani ya kichwa chake ikamkwaruza sikio, Chupu chupu.
PIA SOMA
- Marekani: Donald Trump ajeruhiwa kwa risasi akihutubia mkutano wa hadhara
View attachment 3043498