Chumchang Changchum
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 5,988
- 6,226
Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote angekuwepo, risasi isingeweza kuua mtu yeyote, popote, kwa sababu yoyote.Sekunde kabla risasi haijafyatuliwa Trump aligeuza kichwa kuangalia kulia, Risasi iliyolengwa kupenya ndani ya kichwa chake ikamkwaruza sikio, Chupu chupu.
PIA SOMA
- Marekani: Donald Trump ajeruhiwa kwa risasi akihutubia mkutano wa hadhara
View attachment 3043498
πππ.... hakubanaYule Dogo hakubana pumzi.
Ni mkono wa Mungu kwa asilimia mia moja!Sekunde kabla risasi haijafyatuliwa Trump aligeuza kichwa kuangalia kulia, Risasi iliyolengwa kupenya ndani ya kichwa chake ikamkwaruza sikio, Chupu chupu.
PIA SOMA
- Marekani: Donald Trump ajeruhiwa kwa risasi akihutubia mkutano wa hadhara
View attachment 3043498
Angekufa mngesema mipango ya Mungu."God created only two genders"; ni maneno yake mwenyewe kwenye mkutano mwingine somewhere just less than a week kabla ya tukio la kupigwa risasi.
Kwa hakika Mungu alichungulia duniani akaona yupo aisemaye kweli hadharani bila woga kati ya waovu.
Mungu hutenda kazi zake kwa namna ya ajabu kabisa! Kwa jinsi isiyodhaniwa, Mungu hufanya miujiza!
Ndugu zako waliofariki kwa magonjwa mbalimbali nao Mungu aliwaadhibu kwa makosa yapi? Wagonjwa kibao tulionao mahospitalini nao wameadhibiwa kwa makosa yapi? Mbona mashoga wakubwa na maarufu duniani wanadunda vema tu na wanaishiwa kuadhibiwa wasio na hatia!? Tumia kichwa chako.Kwa hakika umenena vema Mtumishi wa Mungu. Kwa upande wa Joe Biden, Mungu anamuadhibu kwasababu amechukizwa na matendo yake hasa ya kuueneza na kuunga mkono ushoga na kushabikia na kutaka kuiangamiza Dunia ambapo ndipo Mungu anaweka miguu yake. Ndio maana muda wote anaweweseka kama vile anajenga Mnara wa Babeli. Kwa uzee wa miaka 81 hakupaswa kuwa anapoteza kumbukumbu ya vitu vya kawaida kama kukosea majina ya watu na vyeo vyao.
Mungu kamuadhibu Biden na kuwaacha mashoga na wafadhiri wao wakitamba mitaani!!!?? Vipi kuhusu wagonjwa tulionao mahospitalini nao wameadhibiwa kwa ushoga?Mpaka hapa kuna mipagani bado haiamini kuwa ni kazi ya Mungu Mkuu