Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,711
- 3,279
Habari wakuu.
Kuelekea uchaguzi wa Marekani kuna kitu nimejaribu kuwaza,
Sote tunazijua sera za Trump sio mtu wa kupenda mavurugu vurugu ndito maana hata uchaguzi uliopita alishinda ile deep state ilimkataa baada ya kuona sera zake sio rafiki kwa biashara kubwa za nchi ile ikiwemo millitary industrial complex.
Kwa sababu hiyo naona yale yale ya 2020 yakijirudia.
Kuelekea uchaguzi wa Marekani kuna kitu nimejaribu kuwaza,
Sote tunazijua sera za Trump sio mtu wa kupenda mavurugu vurugu ndito maana hata uchaguzi uliopita alishinda ile deep state ilimkataa baada ya kuona sera zake sio rafiki kwa biashara kubwa za nchi ile ikiwemo millitary industrial complex.
Kwa sababu hiyo naona yale yale ya 2020 yakijirudia.