Trump na Musk wajue machozi ya wafanyakazi wa USAID waliowafukuza kwa uonevu ni KARMA.

Trump na Musk wajue machozi ya wafanyakazi wa USAID waliowafukuza kwa uonevu ni KARMA.

The Mongolian Savage

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2018
Posts
8,082
Reaction score
17,838
20250228_142310.jpg
20250228_142348.jpg
20250228_142425.jpg
 
Yani Trump na Musk ni kama watoto hovyo kabisa. Mimi nilitamani Ron Desantis Desantis governor wa Florida awe rais kupitia Republican kungekuwa na nidhamu. Na Republicans wengi wenye akili wanamkubali ila ndio hivyo Trump alimshinda kwenye primaries.

Musk na Trump Trump very arrogant na reckless.
 
Yani Trump na Musk ni kama watoto hovyo kabisa. Mimi nilitamani Ron Desantis Desantis governor wa Florida awe rais kupitia Republican kungekuwa na nidhamu. Na Republicans wengi wenye akili wanamkubali ila ndio hivyo Trump alimshinda kwenye primaries.

Musk na Trump Trump very arrogant na reckless.


Elon Musk ni Bilionea ila amechagua kuwa CHAWA PROMAX wa Rais Trump mpaka anatia kinyaa...na vile kamwe hawezi kuupata Urais wa USA kwa kuwa yeye SIYO RAIA WA KUZALIWA WA USA, basi hajali kabisa kuumiza Wamarekani na raia wa Ulimwengu huu. Ni Mungu tuu ndiye anayeweza kuamua kwa kuingilia kati, bila shaka, dalili zote kwa hawa Duos zinaonyesha kuwa sasa Dunia inaelekea kumpata Hitler mwingine, hata kama alijitanabahisha kuwa hapendi vita, itoshe tuu kudadisi kupenda kwao kumiliki PEKE YAO Uchumi wa Dunia, Kuhodhi mamlaka Yasiyo na mwisho, kutamani ghafla tuu KUINUNUA Gaza strip, Greenland, Canada, na pia kuumiliki mfereji wa Panama, kujipa mamlaka ya kusuluhisha vita bila kuhusisha upande unaolalamika kuonewa pamoja na Wadau wakuu wa Ulaya.....kutapelekea vurugu na vita kubwa sana katika hii Dunia itakayo tugharimu na kuvuruga USTAARABU NA UTANGAMANO ambao Dunia imehangaika kuujenga kwa muda mrefu , kwa jasho na damu.
 
Elon Musk ni Bilionea ila amechagua kuwa CHAWA PROMAX wa Rais Trump mpaka anatia kinyaa...na vile kamwe hawezi kuupata Urais wa USA kwa kuwa yeye SIYO RAIA WA KUZALIWA WA USA, basi hajali kabisa kuumiza Wamarekani na raia wa Ulimwengu huu. Ni Mungu tuu ndiye anayeweza kuamua kwa kuingilia kati, bila shaka, dalili zote kwa hawa Duos zinaonyesha kuwa sasa Dunia inaelekea kumpata Hitler mwingine, hata kama alijitanabahisha kuwa hapendi vita, itoshe tuu kudadisi kupenda kwao kumiliki PEKE YAO Uchumi wa Dunia, Kuhodhi mamlaka Yasiyo na mwisho, kutamani ghafla tuu KUINUNUA Gaza strip, Greenland, Canada, na pia kuumiliki mfereji wa Panama, kujipa mamlaka ya kusuluhisha vita bila kuhusisha upande unaolalamika kuonewa pamoja na Wadau wakuu wa Ulaya.....kutapelekea vurugu na vita kubwa sana katika hii Dunia itakayo tugharimu na kuvuruga USTAARABU NA UTANGAMANO ambao Dunia imehangaika kuujenga kwa muda mrefu , kwa jasho na damu.
Huna akili wewe Bwege


Trump sio raisi wa kwanza kutaka Kununua Greenland na Canada. Ukute ni Baba mtu mzima huna akili. Na sio mara ya Kwanza USA Kununua baadhi ya territories na sehemu ya nchi zingine.

Alaska (1867) – Ilinunuliwa kutoka kwa Urusi.

Eneo la Louisiana (1803) – Ilinunuliwa kutoka kwa Ufaransa (ilikujumuisha majimbo mengi ya baadaye ya Marekani).

Florida (1819) – Ilinunuliwa kutoka kwa Uhispania.

Ununuzi wa Gadsden (1854) – Ilinunuliwa kutoka kwa Meksiko.


Acha kutumia sim kuangalia Porn wakati imejaa hizi zoote taarifa
 

Attachments

  • markup_1000470018.png
    markup_1000470018.png
    342 KB · Views: 1
  • Screenshot_20250228-211951.png
    Screenshot_20250228-211951.png
    340.5 KB · Views: 2
Back
Top Bottom