Trump na Musk wajue machozi ya wafanyakazi wa USAID waliowafukuza kwa uonevu ni KARMA.

Trump na Musk wajue machozi ya wafanyakazi wa USAID waliowafukuza kwa uonevu ni KARMA.

Wakatafute changamoto sehemu nyingine kama wana sivii za kutosha Hawa kazi hawakosi
Shida sio kuikosa kazi kuna program wanazijua na wanajua mahali wapokea misaada tunapo kwenda kukwama na kuumia, kuna watu wana Moyo wa kweli ktk kusaidia watu.
 
Shida sio kuikosa kazi kuna program wanazijua na wanajua mahali wapokea misaada tunapo kwenda kukwama na kuumia, kuna watu wana Moyo wa kweli ktk kusaidia watu.
Misaaada ilipromote ushoga naamini sasa angalau zitapungua hizo kampeni.
Hata trump kakiri ilipromote ushoga.
Na ushoga ni ugonjwa wa akili kwann tupromote ongezeko la vichaa duniani
 
Kwahiyo sasa hivi huna kazi! Pole sana.
 
Hiyo hela ilikuwa haiwafikii wahusika ni TRUMP YUPO SAHIHI. Hamna KARMA HAPO
 
  • Thanks
Reactions: K11
Misaaada ilipromote ushoga naamini sasa angalau zitapungua hizo kampeni.
Hata trump kakiri ilipromote ushoga.
Na ushoga ni ugonjwa wa akili kwann tupromote ongezeko la vichaa duniani
Nakubaliana na wewe ndio maana nikasema kuna wengine wana ukweli sana ktk misaada na kuna wengine ndio wanautumia mwanya huo kusambaza ushenzi wao, sasa hapo ktk kuangalia pumba na mchele ni upi ndio mtihani mkubwa.
 
kwa msaada wa watu wa marekani🤣🤣 .trump kaamua kila mtu apambane na hali yake.atoe misaada na bado alipe wafanyakazi
 
Back
Top Bottom