Newly Confirmed addition to a homeless army down the streets of United States
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Newly Confirmed addition to a homeless army down the streets of United States
Shida sio kuikosa kazi kuna program wanazijua na wanajua mahali wapokea misaada tunapo kwenda kukwama na kuumia, kuna watu wana Moyo wa kweli ktk kusaidia watu.Wakatafute changamoto sehemu nyingine kama wana sivii za kutosha Hawa kazi hawakosi
Misaaada ilipromote ushoga naamini sasa angalau zitapungua hizo kampeni.Shida sio kuikosa kazi kuna program wanazijua na wanajua mahali wapokea misaada tunapo kwenda kukwama na kuumia, kuna watu wana Moyo wa kweli ktk kusaidia watu.
Nakubaliana na wewe ndio maana nikasema kuna wengine wana ukweli sana ktk misaada na kuna wengine ndio wanautumia mwanya huo kusambaza ushenzi wao, sasa hapo ktk kuangalia pumba na mchele ni upi ndio mtihani mkubwa.Misaaada ilipromote ushoga naamini sasa angalau zitapungua hizo kampeni.
Hata trump kakiri ilipromote ushoga.
Na ushoga ni ugonjwa wa akili kwann tupromote ongezeko la vichaa duniani
..hakuna KARMA kwa maamuzi ya US government, ni fedha za serikari na wanaweza kuamua chochote for the interest of their government, hizo fedha hajachukua DT au Elon for personal spending, KARMA inakujaje hapo?