Gol D Roger
JF-Expert Member
- Sep 16, 2023
- 2,316
- 6,082
Umeandika upumbavuHawa magaidi wawili wanapanga openly kua wawahamishe watu gaza ili wajenge wachukue wao eneo. Baada ya kuwaua, sasa wanataka kuwaondoa, ila ukweli ni kua watashindwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeandika upumbavuHawa magaidi wawili wanapanga openly kua wawahamishe watu gaza ili wajenge wachukue wao eneo. Baada ya kuwaua, sasa wanataka kuwaondoa, ila ukweli ni kua watashindwa.
By whose standards? Yours?Yeyote mwenye akili timamu hawezi kuunga mkono huo upuuzi wake.
Hakuna nchi ya kiislamu inayowataka hao wapalestina, usianze kudanganya watu ukasema eti wapalestina wamekataa kwenda misri, Misri hawawataki, na ndio maana mpaka wa Egypt-Gaza una ulinzi mkubwa kuliko mpaka wa Egypt-IsraelMwanzoni alianza kwa kusema wanataka kuijenga upya hivyo Palestines waende Misri alipoona watu wamekataa ndio analeta huo ujinga wake.
Kwa hiyo we ulikuwa unataka achekelee ili ubanduliwe vizuri we mtusi! So kama anapinga ushoga inaingiliana vipi na hii madaTrump anapinga ushoga😁