Trump: Nchi za BRICS zenye mpango wa kuikwepa Dola ya Marekani zitakumbana na ushuru wa asilimia 100, Wanaweza kwenda kutafuta “mjinga” mwingine

Huna akili hizo asilimia 90 za China kuitegemea Marekani imeitoa wapi ?
Unajua inauza bidhaa kiasi gani hapa duniani mpaka useme eti China anategemea Marekani kwa %90?
 
Huna akili hizo asilimia 90 za China kuitegemea Marekani imeitoa wapi ?
Unajua inauza bidhaa kiasi gani hapa duniani mpaka useme eti China anategemea Marekani kwa %90?
Sasa name calling ya nini? Ukue kijana acha uharo! Umekosa hoja? Ndio maana mnafeli
 
Unadhani Roman empire ottoman empire na past empire nyengine zilikua zimeuchoka ukaka mkubwa endelea kukaa hapo hapo
 
Kama ni hivyo basi China atachagua bega 😂
 
Kwani mpaka wanakuja kuagiza hizo bidhaa kwenye nchi zingine hizo bidhaa za ndani hazikuwepo au walikuwa hawazioni?
Viwanda vya nchini Marekani vina jiendesha kwa gharama kubwa sana hivyo kufanya bidhaa zao kuwa juu pia, ndio maana raia wa Marekani wanakimbilia kununua bidhaa za nchi nyingine.
Ni sawa na sisi hapa sukari ya kiwango cha juu kutoka Brazil ina uzwa kwa 1800 wakati sukari isiyo kuwa na ubora kutoka mtibwa inauzwa 3500 hicho ndo kitakacho wakuta wamarekani.
 
Umeiba koment yangu kijana nilikua nataka niwaulize wamarekani wa jf hapa walisema brics sio threat kwa marekani na dola yao sasa inakuaje wana haha haha namna hii hawa mabwana halaf dt ni debe tupu tuuuu
 
Sasa hiyo $750 billion ndiyo 90% ya mapato ya China katika exportation hivi una akili kweli?

Na hiyo ilikuwa ni mwaka 2022 kufikia kwaka 2023 soko la Marekani linachangia $500 billion tu kwa China

Soko la Marekani ni sawa na 2% tu ya GDP ya China na 15% tu ya total exports ya China worldwide

Kwa hiyo Trump na Marekani hawana cha kumbabaisha China.

Mchina ana masoko mengi mfano hivi karibuni soko la mataifa ya global south limekua sana linachangia 43% ya total exports za China

Na huko kwenye global south countries KWANZA Mchina amewekeza, PILI viwanda vingi katika mataifa hayo bado vina-import components, parts kutoka China ili watengeneze bidhaa za kuexport Marekani.

Mfano ni Vietnam na Mexico zinapo-export kwenda Marekani, bidhaa za Mchina zinakuwa zinaingia Marekani kupitia mataifa hayo kama 3rd party

Soma hii ripoti ya serikali ya Marekani ya Federal Reserve.

Halafu uje uniambie kati ya Marekani na China nani anamhitaji zaidi mwenzake. Msipende kuongea kishabiki.

Sehemu ya ripoti ilisema hivi:

The most important U.S. suppliers increased their own reliance on Chinese goods

In the remainder of the note, we document that the increase in China's share of U.S. suppliers' imports reflect two factors. First, the most important U.S. suppliers have increased their own reliance on Chinese imports. Second, the U.S. has imported more from countries that have stronger trade ties with China. Later, we also show evidence suggesting that rerouting of Chinese goods toward the U.S. through other countries was quite limited.
Ila isome yote uongeze uelewa ujionee Marekani hawezi kumkimbia Mchina, link iko chini hapo.

Achana na maneno ya wanasiasa angalia uhalisia wa uchumi wa Marekani unavyotegemea China


 
Umeambiwa us ndiyo taifa lenye uchumi mkubwa Dunia kuanzia wafanyakazi wa ndani, mpaka wale wa mashambani wanamzidi mshahara mkuu wa wilaya ya malinyi hapa nchini kwako. Bora kuwa mfanyakazi wa shambani US kuliko kuwa doctor Tanzania..
Kumbe hata hakuna unacho jua kuhusu uchumi ila unaongea kwa kunukuu sitori za vijiweni?
 
Kwamba wakati China inapata hizo dola kutoka marekani wao marekani hawapati lolote kwanza unaelewa maana ya biashara kijana au umeandika tuuu unakumbuka Huawei ilitwangwa vikwazo kila kona na tarrif kibao marekani ikiamini itakua ndio mwisho wa Huawei matokeo yake
 
Ila huyo mwendawazimu DT anaweweseka na huo umoja wa wanywa kahawa ?

Humu ifike muda vipimo vya umri vianze
Umri unasaidia nini sasa. Hao brics wanafanya biashara na Marekani pia hawawezi kuikimbia dola. Kama ingekua rahisi hivyo wangeshafanya wanachokitaka. Narudia tena ni kijiwe cha kahawa 🤣🤣🤣🤣.
 
In the long run huu ushuru na sanctions zitafail...
Mfano suala la kuiwekea vikwazo na kuipiga ushuru china bado halijaleta matokeo waliyoyatarajia. Makampuni ya magari ya ulaya kama VW na Benz wana hofu kama china itafanya hivyo hivyo watakula hasara zaidi.
 
Hakuna atakachofanya . Urusi kwa sasa anawapelekea moto huko huko NATO na USA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…