Sisi ni nchi ya Dunia ya tatu,Leo hii tunashangilia SGR wakati setilite hatuna,mifumo ya malipo inakwamisha speed ya miradi,Kodi inakusanywa inalipia madeni kichefuchefu yaliyokopwa na Ikulu,sasa kama kusema hivyo nakosea hebu jikague mwilini mwako ni bidhaa ngapi mwilini mwako na ofisini kwako zinatoka china,na je kwanini mazao yauzwe kama raw materials wakati sisi tunaagiza chocolate bar nje,huu ni wakati tuongee lugha Moja,tuko na hali dhoofu kama taifa,Barabara mkondo mmoja toka Dsm mpaka Tunduma ni death penalty kwa masaa yote hayo,nayo haya maajari ya kisiasa ni mipango mibovu pia.huwezi kuwa na vyama vimepigwa pingu hata haviwezi kuwa na miradi mikubwa sababu tuu bwana Lumumba atakosa kung'aa hapo juu.