Zuzumagic anajiita jiwe, yaani kichwa chake hakina sehemu ya kuhifadhi chochote ndio maana Wanyakyusa wanamwita Kuntu Kumu, yaani kichwani kukavu, badadala ya kuwa na ubongo Kuna pumba za mpunga na maranda ya mbao ambayo kule Mby tunayaita mapurulilo na tunayatumia kujifunzia kuruka sarakasi