Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Baada ya kusema Marekani haitachukua wahamiaji kutoka shit hole countries. Watu waliamdamana mpaka nyumbani kwake na kwa hasira wengine walivua suruali na kuonyesha shit holes zao, walipichoka waliondoka.
Jana nimeona comment kwenye gazeti inasema Trump ni an ass hole, nikasema huyu Lugola wao hayaoni haya?
Jana nimeona comment kwenye gazeti inasema Trump ni an ass hole, nikasema huyu Lugola wao hayaoni haya?