Trump ni Magufuli mweupe, anachokisema anakitekeleza haraka, wiki 1 tu kafukuza wahamiaji haramu na Kafuta USAID. Rais Samia pata somo

MELEKAHE

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2023
Posts
1,340
Reaction score
5,588
Kasi ya Trump kwenye kutekeleza maamuzi magumu ni kubwa sana, natamani Rais wetu Samia na yeye awe na hii kasi.

Hata Tanzania kuna taasisi kibao zinafilisi serikali hakuna cha maana zinazofanywa zinapaswa kufutwa fasta fasta

TRUMP anatoa THANK YOU haraka kuliko thank you za Simba na Yanga.

 
"Hapa kwetu (Tanzania) JPM bado anaongoza kwenye kura za maoni mioyoni mwa watanzania" nukuu toka kwa Askofu Bagonza katika ukurasa wake wa Facebook.
 
Mama hana udhubutu huo
 
Anatekeleza kwa haraka na anasimamia anachokiamini. Raisi unatakiwa uwe unatoa maamuzi haraka.

Shida kubwa kwa waafrika ni kutoa maamuzi haraka
 
Wasije tu wakamuua kabla ya kumaliza kipindi chake
 
Unamuonea Samia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…