Ni baadhi ya vitu mbavyo Biden na Harris sambamba na Democrats wamevifanya vitavyomsafishia njia Trump.
Mfumuko wa bei, Maisha yamekuwa ghali zaidi kipindi cha Biden na Harris
Hakuna kitu kinawaumiza wamarekani middle class na class za chini zaidi kama mfumuko wa bei. Mafuta, umeme, Vyakula, Rent, n.k, vimepanda mno, kiufupi wametoka ku live saizi wanajitahidi ku survive
Kipindi cha Trump aliingia nchi ikiwa na hali ya uchumi mbaya na hata Obama alikiri kwamba kurejesha uchumi kunahitaji muujiza, ndicho Trump alichoweza kukifanya na kurahisisha maisha ya Wamarekani.
Kuruhusu maharamia milioni 20 nchini
Biden karuhusu Illegal Immigrants takribani milioni 20 wengi wakiwa ni wafungwa, wabakaji, child traffickers, wauaji, gang members, mapusha, n.k. waliotoroka nchi zao kukimbilia Marekani, Hii imepelekea hali ya uhalifu kushamiri. Isitoshe hivyo tu, Maharamia hawa wanalipiwa hoteli wakati kuna wamarekani wanaolipa kodi wanalala nje, wanalipiwa chakula, wanapewa pesa, n.k. Wamarekani wengi hawapendezwi kodi zao kulipia maharamia.
Trump kaahidi akirudi ataendelea na sera yake ya mwanzo iliyofanikiwa sana kuzuia maharamia, kipindi chake kuingia Marekani ilikuwa ngumu bila visa, ikiwemo policy ya stay in Mexico, No catch and release, kuongeza border patrols, mass deportations , n.k.
Kuruhusu wanaume kwenye michezo ya mabinti
Biden na Harris wamekuwa wafuasi wakubwa wa kuchochea wanaume wanaobadili jinsia kushiriki michezo ya wanawake, hali hii imesababisha michezo mingi ya wanawake kukosa mvuto huku madume hayo yaliyobadili jinisa yakivunja rekodi za michezo ya wanawake.
Kudharau wakristo.
Siku ya Pasaka ya mwaka huu, Biden na Harris waliigeuza Jumapili ya Pasaka iwe siku ya Mwonekano wa Watu waliobadili jinsia, ratiba za ikulu ya Marekani (whitehouse) zilizohusu pasaka miaka ya nyuma zilifutwa ili kupisha siku shughuli za Transgender visibility day hapo ikulu,
Trump alionyesha kukasirishwa kwa maamuzi haya na kumsihi Biden awaombe msamaha mamilioni ya wakristo
Mfumuko wa bei, Maisha yamekuwa ghali zaidi kipindi cha Biden na Harris
Hakuna kitu kinawaumiza wamarekani middle class na class za chini zaidi kama mfumuko wa bei. Mafuta, umeme, Vyakula, Rent, n.k, vimepanda mno, kiufupi wametoka ku live saizi wanajitahidi ku survive
Kipindi cha Trump aliingia nchi ikiwa na hali ya uchumi mbaya na hata Obama alikiri kwamba kurejesha uchumi kunahitaji muujiza, ndicho Trump alichoweza kukifanya na kurahisisha maisha ya Wamarekani.
Kuruhusu maharamia milioni 20 nchini
Biden karuhusu Illegal Immigrants takribani milioni 20 wengi wakiwa ni wafungwa, wabakaji, child traffickers, wauaji, gang members, mapusha, n.k. waliotoroka nchi zao kukimbilia Marekani, Hii imepelekea hali ya uhalifu kushamiri. Isitoshe hivyo tu, Maharamia hawa wanalipiwa hoteli wakati kuna wamarekani wanaolipa kodi wanalala nje, wanalipiwa chakula, wanapewa pesa, n.k. Wamarekani wengi hawapendezwi kodi zao kulipia maharamia.
Trump kaahidi akirudi ataendelea na sera yake ya mwanzo iliyofanikiwa sana kuzuia maharamia, kipindi chake kuingia Marekani ilikuwa ngumu bila visa, ikiwemo policy ya stay in Mexico, No catch and release, kuongeza border patrols, mass deportations , n.k.
Kuruhusu wanaume kwenye michezo ya mabinti
Biden na Harris wamekuwa wafuasi wakubwa wa kuchochea wanaume wanaobadili jinsia kushiriki michezo ya wanawake, hali hii imesababisha michezo mingi ya wanawake kukosa mvuto huku madume hayo yaliyobadili jinisa yakivunja rekodi za michezo ya wanawake.
Kudharau wakristo.
Siku ya Pasaka ya mwaka huu, Biden na Harris waliigeuza Jumapili ya Pasaka iwe siku ya Mwonekano wa Watu waliobadili jinsia, ratiba za ikulu ya Marekani (whitehouse) zilizohusu pasaka miaka ya nyuma zilifutwa ili kupisha siku shughuli za Transgender visibility day hapo ikulu,
Trump alionyesha kukasirishwa kwa maamuzi haya na kumsihi Biden awaombe msamaha mamilioni ya wakristo