Trump: Sitomrudisha Prince Harry kwao kwa sababu matatizo anayokumbana nayo kutoka kwa mke wake ni makubwa na adhabu tosha

Mama ake alisema lakini
Hapo ndipo ninapomuona Trump kama mtu wa kipekee mno, yeye mwenyewe anasema hilo, alikuwa tajiri,akafilisika kabisa, akapambana akawa tajiri kuliko mwanzo, alikataliwa hadi na viongozi wengi wa chama chake, lakini akawa rais, kumbe hadi mama yake alimwona kama mjinga tu, ila ndiyo hivyo, sasa hivi ni rais kwa mara nyingine tena, what a man?
 
Mimi huwa ni ngumu sana kuamini hbari za mitandoni, maana unaweza kutengeneza fake tweets mtandaoni, fake news papers mtndaoni.Sasa mtu ana status ya Marriage na Raia wa Marekani una mdeport vipi? au kuna kosa lingine amefanya?
Mtu kama prince Harry anaweza kuishi Marekani bila vibali kweli ? Mbona Marekani ni Taifa la wahamiaji tupu japo kwa miaka tofauti.
 
Mimi huwa ni ngumu sana kuamini hbari za mitandoni, maana unaweza kutengeneza fake tweets mtandaoni, fake news papers mtndaoni.Sasa mtu ana status ya Marriage na Raia wa Marekani una mdeport vipi? au kuna kosa lingine amefanya?
Alidanganya wakati anajaza form kuingia USA, alidai haijawahi tumia dawa za kulevya..akajajichanganya kwenye mahojiano flan kwa aliwahi kutumia, kwa USA ni kosa la Moja kwa Moja kutimuliwa
 
Mimi huwa ni ngumu sana kuamini hbari za mitandoni, maana unaweza kutengeneza fake tweets mtandaoni, fake news papers mtndaoni.Sasa mtu ana status ya Marriage na Raia wa Marekani una mdeport vipi? au kuna kosa lingine amefanya?
Ni habari ya kweli Mkuu
 
Ndoa siku hizi ni pasua kichwa
Ndoa sio pasua kichwa mnakuza coaches zenye shida kujustify

Marriage is the best institution from God,kama humshirikishi Mungu basi jua hiyo sio ndoa unayoitamani na hutakuja kuipata ...simply contract kama contract nyingine tuu

Ni kama kusema "mathematics ni ngumu ili upate uungwaji mkono"
 
Yaani kuna vichwa hii weekend vinakula kiapo "till death do us part"
Ndio na ni jambo la kheri...kama hauna mahusiano na Mungu ndoa ni pasua kichwa,inakua kama contract fulani tuu ya watu wawili...

But ndoa is the best thing from God,wakati ziko chache zenye changamoto....

Wengi wanafurahia ndoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…