Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
CCM watamuuzia Nini? Au huna taarifa?!Mtoto wake anakuja kuwekeza Tanzania kwenye Sekta ya Utalii
Kakataliwa Elon Musk na internamet ya setilite yenye speedMtoto wake anakuja kuwekeza Tanzania kwenye Sekta ya Utalii
Trump anatuhumiwa kwa makosa gani?Jamaa akisema Hatogombea Urais, hapo kesi inafutwa.
Makosa anayotuhumiwa nayo DT ndo alonayo JB ,maajabu JB haguswi yaan km hapa kwetu kama zilivyo familia za waleee jamaa!!.
Hapo RC ndo inamkazia Trump !!.