Chauro acha uwoga bana loh eti mtego mtego! We nshakuzoea kwa kureserve!
Nakubali kuwa kuna wanaume wenye moyo wa kipekee ingawa mara nyingi wa hivi huonekana/ huchukuliwa kama wanaume wenye mioyo ya kike![/QUOTE]
Duhhhhhhh...Huyo ni wewe kweli?
Hah! Babu kweli imenibidi niwe mpole hapa duh.....kumbe bado nina safari ndefu bado eh? Aksante nntajifunza taratibu! Hii ni hazina kubwa ya busara aksante sana BabuhMJ1...kwenda mdogo mdogo mpenzi...Ukikua utajua tafauti katia kupenda kwa moyo wote na mwili wote hadi kupoteza akili zote na kupenda kwa kili zako zote (ukiwa sober), na kuwekeza nusu ya moyo wako kwenye mapenzi.. Ukifikia hapo tutaweza kuelewana lugha. Ila kama bado kwenye dunia ambayo neno kama vile "I love u so much" kutoka kwa mwanamume linakufanya umpatie kila hazina yako basi hatuwezi kuelewana bado. Ila naamini tutafika...muda huwa hauna longo longo!!
!!!! Babu si ndio huwa wanaitwa Mume ***** au nimekosea? Na wanachukuliwa kuwa na moyo wa kike kwa kuwa katika jamii nyingi ni mwanamke ndie anayetakiwa kusamehe mumewe akicheat, akizaa nje n.khChauro acha uwoga bana loh eti mtego mtego! We nshakuzoea kwa kureserve!Nakubali kuwa kuna wanaume wenye moyo wa kipekee ingawa mara nyingi wa hivi huonekana/ huchukuliwa kama wanaume wenye mioyo ya kike![/QUOTE]Duhhhhhhh...Huyo ni wewe kweli?
So unajua kuwa now mwenzangu hanitrust tena.....
How do we amend this? Unafanyaje fanyaje kumrudisha mwenzako akutrust/amini tena kama mwanzo?
Mwenzako afanyaje ili umtrust tena kama mwanzo?
Wapendwa Habari za weekend?
Najua karibu kila mmoja wetu amewahi kumkosea/kosewa mwandani wake, awe mume/mke, mchumba, boy/galfriend, nyumba ndogo/ATM/MBA wake. Sisi sote tu binadamu na kukosea tumeumbiwa. Vile vile naelewa kuwa makosa yanatofautiana katika mahusiano, but yapo yale ambayo humfanya mwenzi wako akapunguza TRUST yake kwako (But si kosa la kuwafanya muachane).... So unajua kuwa now mwenzangu hanitrust tena.....
How do we amend this? Unafanyaje fanyaje kumrudisha mwenzako akutrust/amini tena kama mwanzo?
Mwenzako afanyaje ili umtrust tena kama mwanzo?
Kuna ukweli hapo!Tena ukweli mweupe!So unajua kuwa now mwenzangu hanitrust tena.....fafanua ni kwa nini hakuamini tena.....................................bila ya kujua mwiba ulikoingilia ni vigumu kujua ni wapi pa kuutolea................
Hilo rahisi, unazidisha makosa zaidi hadi akose matumaini 99%akishafikia hatua hiyo unaanza kufanya mazuri kidogo kidogo hadi atakapofikiria kuwa umeanza kubadilika, utashangaa kidogo kidogo anaanza kujipa matumaini kuwa umeanza kujivua gamba. hutaamini macho yako mwisho wa siku atakuamini zaidi ya zamani kama umeonyesha kuchukia makosa uliyokuwa unayafanya mwanzoni. kumbuka; ukitaka kurekebisha kreki za nyumba yako, ili ipendeze ni lazima uibomoe kabisa afu uijenge upya.Wapendwa Habari za weekend?Najua karibu kila mmoja wetu amewahi kumkosea/kosewa mwandani wake, awe mume/mke, mchumba, boy/galfriend, nyumba ndogo/ATM/MBA wake. Sisi sote tu binadamu na kukosea tumeumbiwa. Vile vile naelewa kuwa makosa yanatofautiana katika mahusiano, but yapo yale ambayo humfanya mwenzi wako akapunguza TRUST yake kwako (But si kosa la kuwafanya muachane).... So unajua kuwa now mwenzangu hanitrust tena.....How do we amend this? Unafanyaje fanyaje kumrudisha mwenzako akutrust/amini tena kama mwanzo?Mwenzako afanyaje ili umtrust tena kama mwanzo?
I dont even trust myself....
How ca i trust you?????????????????
QUOTE=Dark City;2147782]!!!! Babu si ndio huwa wanaitwa Mume ***** au nimekosea? Na wanachukuliwa kuwa na moyo wa kike kwa kuwa katika jamii nyingi ni mwanamke ndie anayetakiwa kusamehe mumewe akicheat, akizaa nje n.kh
Really????gharama ya ku to m trust mtu ni kubwa saana
inatufanya tu wa trust watu,hata kama tunajua tunajidanganya
Really????
Ni kweli kabisa gharama ni kubwa ila wakati mwingine inakuwia vigumu urudisha trust yote ya mwanzo baada ya maumivu fulani, lakini mwisho wa siku unajikusanya kwa ajili ya mambo anayojitahidi kuyafanya ili kurudisha trust iliyokuwepo awaligharama ya ku to m trust mtu ni kubwa saana
inatufanya tu wa trust watu,hata kama tunajua tunajidanganya
Dina mdogo wangu hii ni kweli kabisa na hata akikukosea trust inarudi haraka sana sababu tu ya mapenzi ya dhati uliyojijengea kwake, ndio maana tunasema mapenzi wakati mwingine yanatufanya tuwe vipofuUkimpenda kwa dhati utam trust sana tu, na akikukosea kama ameomba msamaha kutoka moyoni utajua na utamsamehe mwenyeweee!!Sasa mkiwa na mahusiano ambayo hamuaminiani huwa si rahisi kusamehe kabisa
W
How do we amend this? Unafanyaje fanyaje kumrudisha mwenzako akutrust/amini tena kama mwanzo?
Mwenzako afanyaje ili umtrust tena kama mwanzo?