Kwaiyo kama dada angu malaya ndio niutetee umalaya au niufumbie macho kwa sababu ni tabia ya dada angu. Wewe jamaa unajiona smart lakini ni mpumbavu kinoma
Kwahio wote ambao sio virgins kabla hawajaolewa ni malaya ? Haijalishi kama walibakwa au virginity imetoka by other physical means... Wewe utawapima na kuwa brand prositutes ? Unajua hata maana ya Umalaya..., And this is neither her nor there..., Uzi unajieleza na kwa kuleta comments zako unazidi ku vindicate Uzi....
hakuna mtu anaetafuta validation ya mwingine hapa, ila ukiandika utumbo utajulikana tu kwa kusoma comments za wachangiaji.
Tena bora utumbo ni kitu cha maana katika mwili au ni chakula kinaweza kulika wewe comments unazoleta yaani hata hazifai katika sehemu husika..., yaani ni kama kilichomo ndani ya utumbo na sio utumbo wenyewe... na kwa
Ku Prove that Point Taelezea kwenye Hii Post yako Moja kama Ifuatavyo....
Nasisitiza single mother, damaged women and all other women with reckless past are fools and idiot and they deserve whatever shit comes with that
Unajua maana ya Single Mother..., Unajua hata mwanamke ambaye amekimbiwa, amefiwa, alibakwa akaamua kutunza mtoto kuliko kumtupa wote ni Single Mother ? Kwahio kwa akili yako they deserve kufiwa, kukimbiwa na hata kubakwa ? What is the alternative wakiachika wanywe sumu na kuua offsprings zao ili waendane na mtizamo wako finyu wa maisha ambao unadhani maisha ni black or white ?
Unajua maana ya
damaged ? (Na ukishajua hilo lazima kulikuwa na causative stimulus iliyopelekea hayo kutokea.., sasa je tunapomuhukumu huku aliyekuwa damaged je aliyesababisha ? Kumbuka hapa hakuna mtu aliyekufunga kamba utoke na huyu au yule..., ila kuanza kushambulia waliofanya hivyo ni dalili za kukosa ustaarabu...
Women are gatekeeper of sex and fertilty, meaning no sex happens withhout woman's consent.
Have you ever heard of rape ? au kudanganywa na kwahio tumuhukumu mtu mature kwa so called makosa aliyofanya akiwa katika foolish age (kumbuka it is called foolish for a reason)....; Hapa sikupangii wewe cha kufanya kwa mtizamo wako ni haki yako both morally and legally kuchagua unachotaka ila sio kuleta sweeping statements without any hint of sense....
The only way a woman will know if a man is serious is ny marry her or pay her brideprice, any woman gives a man access to her body wothout that happened is an idiot.
Kwa mtizamo wako...., ila hii point ni utumbo sababu unaongelea vitu ambavyo wala sio valid.., hapo juu kuna post nimekwambia mambo ya kutoa mahari inategemea kuna jamii mwanamke ndio anatoa mahari na unavyoongelea kwamba ndoa ni be it end all ni kama vile unasahau kuna kuachika na talaka kwahio by your definition mtu akifiwa au kuachika aishi katika celibacy ?
Au unataka turudi zama za kale ambapo watu walikuwa wanachumbia mtoto anapozaliwa ? Hivi unajua kuna kipindi mwanamke kijijini alikuwa akijiona mjanja watu wanaweza wakamteka na kufanya asilale kwao na kwa tamaduni zao kipindi kile ile ilikuwa tayari kama ndoa yaani lazima aende kwa hao wabakaji ? (Nadhani hao watu na their draconian thoughts walikuwa hawana tofauti na wewe)...
Wanaume kama wewe ndio mnasababisha wanawake wanatudharau wakijua hata wakitufanyia cheating na manipulations wakishtukiwa watatuchezea akili tu kwa kujifanya victims.
Utumbo mwingine...., Unaangalia haya mambo kama ni vita wao na sisi (wakati hii ni a very complicated partnerships ambayo variables differs a lot) kwahio what matters ni compatibility wewe unayeendana nae na kwa mitizamo yenu.., By the way yaani hauna imani na partner wako kwamba ataweza kubadilika sababu kuna watu wana mitizamo tofauti ?
Wewe ni mmoja wa wanaume wapumbavu mnaosababisha mabinti wadogo waone kutombwa tombwa, kufanya umalaya na vitendo visivyokua na maadili ni kawaida kwa sababu jamii haitawahukumu na badala yake lawama zitarushwa kwa wanaume
Ungekua karibu ningekucharaza bakora, pumbavu kabisa wewe
In short hii comment was unnecessarily zaidi ya kuchafua hali ya hewa..., By the way hizi Draconian way of thinking they are so yesteryear ndio maana kuna matukio ya watu kuuwana na kufanyiana vitendo vya kikatili..., nadhani wewe ungefurahia enzi za genital mutilations ukiamini kwamba mabinti kuwapunguza hamu ya tendo ili waendelee kuwa kipozeo cha mme wao.... (Again making the deal even harsher)