Truth Or Dare:The Game...Play It...

Truth Or Dare:The Game...Play It...

But I didn't choose whether truth or dare, ila twende tu....

Nimeolewa nina mapacha wa nje wawili na wote naishi nao, napendelea wali maharage/ njegere na kachumbari. Mara ya mwisho kula makande ni mwaka 2019 mwishoni mwishoni kwenye November/ December... Kuanza kuvaa kiatu na mguu wa kulia nahisi ni mazoea tu ya asili ni kama ilivyo kwenye kutembea tunaanza kunyanyua mguu wa kulia.

Sijawahi kupigana nikiwa darasa la kwanza.
Acha fix...umeolewa na nani?

Shauri yako....jifungie riziki tu...nilikuwa na mpango wa kuja PM mwezi wa kumi na moja.
 

Ulishawahi kumtumia PM Kasinde/Kasie?
Nini kilikusukuma kumtumia PM?
Uko kwenye group la Whatsapp na memba wengine wa JF?
Mnajadili nini huko?

Una ID nyingine zaidi ya hii ya Darmian?
 
Ulishawahi kumtumia PM Kasinde/Kasie?
Nini kilikusukuma kumtumia PM?
Uko kwenye group la Whatsapp na memba wengine wa JF?
Mnajadili nini huko?

Una ID nyingine zaidi ya hii ya Darmian?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kweli hii truth and dare

Nishawahi kumtumia Pm ndio bibie wa kuitwa Kasie..Nilipenda tu swaga zake

Sipo kwenye group la whatsapp lenye link na JF

Sina ID nyingine tofauti na hii
 
Back
Top Bottom