choose, truth or dare.[emoji3][emoji3]
unatumiaje muda wako.Truth
i choose truth
- 6 kulala
- 4Movies
- 1 kusoma knowledge
- 2-3 Kuandika (sio kila siku
- 6 kuingiza skills mpya
AhdajkkgghhType a full sentence with your eyes closed and send it h
Nipo njiani nakujaI dare you to came to my piemu [emoji18]
7 habits of highly effective people.Kitabu gani umesoma wiki hii
unajihis mwenye bahati? kwaniniTruth
chooseNdio. Karibia kila nachotamani kukipata hua nakipata hata kama hua kinachelewa..
Acha fix...umeolewa na nani?But I didn't choose whether truth or dare, ila twende tu....
Nimeolewa nina mapacha wa nje wawili na wote naishi nao, napendelea wali maharage/ njegere na kachumbari. Mara ya mwisho kula makande ni mwaka 2019 mwishoni mwishoni kwenye November/ December... Kuanza kuvaa kiatu na mguu wa kulia nahisi ni mazoea tu ya asili ni kama ilivyo kwenye kutembea tunaanza kunyanyua mguu wa kulia.
Sijawahi kupigana nikiwa darasa la kwanza.
Woooohhh, Thank you.
May you have many happy years together.
Truth
πππππAcha fix...umeolewa na nani?
Shauri yako....jifungie riziki tu...nilikuwa na mpango wa kuja PM mwezi wa kumi na moja.
Truth.choose, truth or dare.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kweli hii truth and dareUlishawahi kumtumia PM Kasinde/Kasie?
Nini kilikusukuma kumtumia PM?
Uko kwenye group la Whatsapp na memba wengine wa JF?
Mnajadili nini huko?
Una ID nyingine zaidi ya hii ya Darmian?
At which age you started "kusomeshwa katiba"?Truth.
Truth
Huo msamiati " kusomeshwa katiba" sijui hivi itakuwa sawa.... Nilisoma katiba kujibia paper la Law chuoAt which age you started "kusomeshwa katiba"?