Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Umewahi kumtamani mwanaume/mvulana yoyote jf??Truth
Nilikuwa nasearch kitu na matokeo ya juu zaidi ilikuwa inakuja link ya Jf.yaani majibu niliyokuwa nayataka yalikuja yanakuja kutoka humu,baada ya Mara mbili tatu hivi ndo nikawa na shauku ya kutaka kujua ni kitu gani.ingawa ilinichukua muda kuwa mwanachama lakini Nilikuwa naperuzi Kama guest.How did you know JF?
Hapana,sijawahiUmewahi kumtamani mwanaume/mvulana yoyote jf??
Nifundishe basi na mie hiyo starehe...Starehe tu.....
[emoji23][emoji23]..mnataka tena muone milonjo(miguu) yangu sio..tustick kwanza na TruthChagua dare bhana [emoji23]
Nimeifuta dear Paula Paul..watu walianza kuidiscuss humuPicha ipo wapi Darmian?
Oh, okay.Nimeifuta dear Paula Paul..watu walianza kuidiscuss humu
Sijui umejuaje ni kitu nilitaka kuomba tena...tubaki hapa kwenye dare[emoji23][emoji23]..mnataka tena muone milonjo(miguu) yangu sio..tustick kwanza na Truth
Nitadare chochote isipokuwa cha kupost aya twendeSijui umejuaje ni kitu nilitaka kuomba tena...tubaki hapa kwenye dare
Nimefurahi kusikia hilo..Oh, okay.
I like hairy legs.
Usijal taratibu nitakuanzia doz ya bia laini lainiiNifundishe basi na mie hiyo starehe...
Ndio unioneshe sasa.Nimefurahi kusikia hilo..
How is your love life?
Nimeifuta dear Paula Paul..watu walianza kuidiscuss humu
Darmian Mimi sijaiona pichaZa kawaida tu sio nyingi kama inavyoonekana kwenye picha..umezoea kuona wanaume wenye miguu isiyo na nywele tu?
Paula bhanaYeah, twice.
I cheated on exams .
Kumbe una kitambi😐😐I love my legs. I don't really like my stomach.
Naomba nione.Picha ilikuwa ni kwaajili ya aliyeni-dare kufanya hivyo..