Truth Or Dare:The Game...Play It...

How did you know JF?
Nilikuwa nasearch kitu na matokeo ya juu zaidi ilikuwa inakuja link ya Jf.yaani majibu niliyokuwa nayataka yalikuja yanakuja kutoka humu,baada ya Mara mbili tatu hivi ndo nikawa na shauku ya kutaka kujua ni kitu gani.ingawa ilinichukua muda kuwa mwanachama lakini Nilikuwa naperuzi Kama guest.
 
Nimeifuta dear Paula Paul..watu walianza kuidiscuss humu

Ooh bad of them, it’s not fair to talk funny of somebody nor bully them.

It is a game and I dare it without knowing it will come to that point.

Well take it easy, people are of different caliber.

Peace ✌️ to all.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…