"Try again" amefarijiwa na Rais wa FIFA Infantino. Kiaina

"Try again" amefarijiwa na Rais wa FIFA Infantino. Kiaina

Alimwambia mechi ya Simba na Al ahyl Simba ilicheza vizuri kuliko mechi ya fainali ya Mamelody na Wydad. Wapi amezungumzia Simba ni Bora kuliko Mamelody, halafu mkiambiwa wenye akili ni wawili mnalalamika.
unaweza kuwa timu bora bila kucheza vizuri?
 
Tatizo siyo yeye try again kuambiwa , kuambiwa na infantino sio kosa kabisa maana huwezi mzuia kusema. Tatizo ni kuyabeba maneno yale nankuyaleta kwa mashabiki wa simba, hili ni tatizo kubwa linaonesha uwezo wa viongozi hawa tulionao
Try again alimwambia Infantino kuwa wameshamfukuza Robertihno? Try yuko tayari sasa kumrejesha Robertihno baada ya maneno yale ya Infantino?
 
Mechi ya finali ya African football league kati ya Mamelods na Wydad alifanyika baada ya Simba kucheza na Yanga na Namungo. Salimu Abdullah Try again alihudhuria mechi ya final kule South Africa na kukutana USO kwa USO na Rais wa FIFA huko. Try again amesema infantino alimwambia kuwa kuwa kwenye mechi ya Simba vs Al-Ahly, Simba ilicheza vizuri kuliko mamelods na wydad kwenye mechi Ile ya finali. Habari hii ilimfurahisha sana mwamba try again kiasi Cha kuyaamini maneno ya Infantino kuwa Simba Iko vyedi kuliko mamelods na wydad kiuchezaji hadi kuja kuwahadithia wanasimba.

Hivi ni kweli Infantino alichomwambia try again au alimfariji kwa kumdhihaki ? Ni kweli Simba Iko vizuri kuliko mamelods? Try again anataka kuwaambia nini wanasimba Yao?
Hii mbona iko wazi!! Fainali hasa fainali ya pili iliyopigwa huko south iliboa sana!!
 
Mechi ya finali ya African football league kati ya Mamelods na Wydad alifanyika baada ya Simba kucheza na Yanga na Namungo. Salimu Abdullah Try again alihudhuria mechi ya final kule South Africa na kukutana USO kwa USO na Rais wa FIFA huko. Try again amesema infantino alimwambia kuwa kuwa kwenye mechi ya Simba vs Al-Ahly, Simba ilicheza vizuri kuliko mamelods na wydad kwenye mechi Ile ya finali. Habari hii ilimfurahisha sana mwamba try again kiasi Cha kuyaamini maneno ya Infantino kuwa Simba Iko vyedi kuliko mamelods na wydad kiuchezaji hadi kuja kuwahadithia wanasimba.

Hivi ni kweli Infantino alichomwambia try again au alimfariji kwa kumdhihaki ? Ni kweli Simba Iko vizuri kuliko mamelods? Try again anataka kuwaambia nini wanasimba Yao?
mtu anaitwa try again bado anaaminika tu
 
Hawa ndio viongozi wetu eti ambao tumewapa nafasi muhimu kwenye timu,! Hili ni jambo kweli lakuja kuwaambia wana Simba, au anafikiri watu wote ni mataahira, ile mbungi iliokua inapigwa juzi ni balaa kuanzia quality, speed, technical ability and energy ya hali ya juu sana.kuongea vile mbele ya mashabiki na wadau wa Simba ni kutuvunjia heshima. Hata kama aliambiwa (brainwashed)
 
Mechi ya finali ya African football league kati ya Mamelods na Wydad alifanyika baada ya Simba kucheza na Yanga na Namungo. Salimu Abdullah Try again alihudhuria mechi ya final kule South Africa na kukutana USO kwa USO na Rais wa FIFA huko. Try again amesema infantino alimwambia kuwa kuwa kwenye mechi ya Simba vs Al-Ahly, Simba ilicheza vizuri kuliko mamelods na wydad kwenye mechi Ile ya finali. Habari hii ilimfurahisha sana mwamba try again kiasi Cha kuyaamini maneno ya Infantino kuwa Simba Iko vyedi kuliko mamelods na wydad kiuchezaji hadi kuja kuwahadithia wanasimba.

Hivi ni kweli Infantino alichomwambia try again au alimfariji kwa kumdhihaki ? Ni kweli Simba Iko vizuri kuliko mamelods? Try again anataka kuwaambia nini wanasimba Yao?
Kumpata Infantino atuthibitishie kama kweli alimwambia Jaribu Tena hayo maneno ndo Mtiti.
 
Hawa ndio viongozi wetu eti ambao tumewapa nafasi muhimu kwenye timu,! Hili ni jambo kweli lakuja kuwaambia wana Simba, au anafikiri watu wote ni mataahira, ile mbungi iliokua inapigwa juzi ni balaa kuanzia quality, speed, technical ability and energy ya hali ya juu sana.kuongea vile mbele ya mashabiki na wadau wa Simba ni kutuvunjia heshima. Hata kama aliambiwa (brainwashed)
Hii inaonyesha kuwa Robertihno amefukuzwa shingo upande kwa shinikizo la mashabiki. Kama Infantino kaona boli lilitembea kwenye mechi ya ufunguzi kuliko mechi ya fainali na Try again akayaamini maneno ya Infantino hadi kuja kujasema mbele ya kamera maana yake anajuta sana ama kumfukuza robertihno au yeye kutaka kufukuzwa kutoka simba. Inawezekana anamsingizia Infantino kusema maneno hayo na hata kama amesema hakutarajia kuwa Try Again atayasema hadharani kama alivyofanya, hana siri friji lake haligandishi. Mnamtengenezea uhasama kati yake na Mamelods na Wydad kwa kuziponda timu zao.
 
Ngoja tuone...
Kama Infantino akiyasikia haya huenda atakasirika sana. Maneno haya ya Try Againkuhusu ubovu wa mechi ya finali tayari yako mikononi mwa wanafinali wa AFL. Akiambiwa athibitishe alichoambiwa na Infantino ataweza?
 
Back
Top Bottom