kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Wajinga ndo waliwao
Ukitaka kula lazima uliwe ,ndo wanasimba tunavyoliwa hivyo
Ukitaka kula lazima uliwe ,ndo wanasimba tunavyoliwa hivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unaweza kuwa timu bora bila kucheza vizuri?Alimwambia mechi ya Simba na Al ahyl Simba ilicheza vizuri kuliko mechi ya fainali ya Mamelody na Wydad. Wapi amezungumzia Simba ni Bora kuliko Mamelody, halafu mkiambiwa wenye akili ni wawili mnalalamika.
Try again alimwambia Infantino kuwa wameshamfukuza Robertihno? Try yuko tayari sasa kumrejesha Robertihno baada ya maneno yale ya Infantino?Tatizo siyo yeye try again kuambiwa , kuambiwa na infantino sio kosa kabisa maana huwezi mzuia kusema. Tatizo ni kuyabeba maneno yale nankuyaleta kwa mashabiki wa simba, hili ni tatizo kubwa linaonesha uwezo wa viongozi hawa tulionao
Hii mbona iko wazi!! Fainali hasa fainali ya pili iliyopigwa huko south iliboa sana!!Mechi ya finali ya African football league kati ya Mamelods na Wydad alifanyika baada ya Simba kucheza na Yanga na Namungo. Salimu Abdullah Try again alihudhuria mechi ya final kule South Africa na kukutana USO kwa USO na Rais wa FIFA huko. Try again amesema infantino alimwambia kuwa kuwa kwenye mechi ya Simba vs Al-Ahly, Simba ilicheza vizuri kuliko mamelods na wydad kwenye mechi Ile ya finali. Habari hii ilimfurahisha sana mwamba try again kiasi Cha kuyaamini maneno ya Infantino kuwa Simba Iko vyedi kuliko mamelods na wydad kiuchezaji hadi kuja kuwahadithia wanasimba.
Hivi ni kweli Infantino alichomwambia try again au alimfariji kwa kumdhihaki ? Ni kweli Simba Iko vizuri kuliko mamelods? Try again anataka kuwaambia nini wanasimba Yao?
Mashindano ya world cup Kuna mechi zilikuwa nzuri kuliko mechi ya fainali. Kuna timu Bora na mechi Bora jaribu kuelewa.unaweza kuwa timu bora bila kucheza vizuri?
mtu anaitwa try again bado anaaminika tuMechi ya finali ya African football league kati ya Mamelods na Wydad alifanyika baada ya Simba kucheza na Yanga na Namungo. Salimu Abdullah Try again alihudhuria mechi ya final kule South Africa na kukutana USO kwa USO na Rais wa FIFA huko. Try again amesema infantino alimwambia kuwa kuwa kwenye mechi ya Simba vs Al-Ahly, Simba ilicheza vizuri kuliko mamelods na wydad kwenye mechi Ile ya finali. Habari hii ilimfurahisha sana mwamba try again kiasi Cha kuyaamini maneno ya Infantino kuwa Simba Iko vyedi kuliko mamelods na wydad kiuchezaji hadi kuja kuwahadithia wanasimba.
Hivi ni kweli Infantino alichomwambia try again au alimfariji kwa kumdhihaki ? Ni kweli Simba Iko vizuri kuliko mamelods? Try again anataka kuwaambia nini wanasimba Yao?
Jamaa nimemdharau sana aisee katuchukulia poa sana!!!Try again ameshawajua mashabiki anaowaongoza ni mambumbumbu wanapenda sana habari kama hizo kwahyo nae anatembea humo humo tu
AaahaaasUongo mkubwa huo wa Try Later.
Kumpata Infantino atuthibitishie kama kweli alimwambia Jaribu Tena hayo maneno ndo Mtiti.Mechi ya finali ya African football league kati ya Mamelods na Wydad alifanyika baada ya Simba kucheza na Yanga na Namungo. Salimu Abdullah Try again alihudhuria mechi ya final kule South Africa na kukutana USO kwa USO na Rais wa FIFA huko. Try again amesema infantino alimwambia kuwa kuwa kwenye mechi ya Simba vs Al-Ahly, Simba ilicheza vizuri kuliko mamelods na wydad kwenye mechi Ile ya finali. Habari hii ilimfurahisha sana mwamba try again kiasi Cha kuyaamini maneno ya Infantino kuwa Simba Iko vyedi kuliko mamelods na wydad kiuchezaji hadi kuja kuwahadithia wanasimba.
Hivi ni kweli Infantino alichomwambia try again au alimfariji kwa kumdhihaki ? Ni kweli Simba Iko vizuri kuliko mamelods? Try again anataka kuwaambia nini wanasimba Yao?
Hii inaonyesha kuwa Robertihno amefukuzwa shingo upande kwa shinikizo la mashabiki. Kama Infantino kaona boli lilitembea kwenye mechi ya ufunguzi kuliko mechi ya fainali na Try again akayaamini maneno ya Infantino hadi kuja kujasema mbele ya kamera maana yake anajuta sana ama kumfukuza robertihno au yeye kutaka kufukuzwa kutoka simba. Inawezekana anamsingizia Infantino kusema maneno hayo na hata kama amesema hakutarajia kuwa Try Again atayasema hadharani kama alivyofanya, hana siri friji lake haligandishi. Mnamtengenezea uhasama kati yake na Mamelods na Wydad kwa kuziponda timu zao.Hawa ndio viongozi wetu eti ambao tumewapa nafasi muhimu kwenye timu,! Hili ni jambo kweli lakuja kuwaambia wana Simba, au anafikiri watu wote ni mataahira, ile mbungi iliokua inapigwa juzi ni balaa kuanzia quality, speed, technical ability and energy ya hali ya juu sana.kuongea vile mbele ya mashabiki na wadau wa Simba ni kutuvunjia heshima. Hata kama aliambiwa (brainwashed)
Watanzania ni wajinga sana, ndio maana yanadanganywa kila sikuMashabiki watakaoshangilia ujinga wa aina hii, nitawashangaa sana.