Danielmwasi
JF-Expert Member
- May 3, 2021
- 2,134
- 3,834
Mashabiki wa simba mbona siwaelewi
1. Mtu anajiuzulu vipi ajatoa progress ya team akitoka? How will things run?
2. Shida ya simba nini?? majibu?
3. Wakati huu wa usajili na mipango ya mwakani?? nani atatoa orientation?? au mna za upya??
4. MO makazi yake ni dubai?? vipi?? chairman via zoom and Skype au??
5. MBONA SIMPLE hivyo, kaacha progress report???!
6. Mangungu una hisi ana elimu na yupo bora kuliko Try Again? Ambaye kafanya kazi na Pope. alikuwa ndo analeta vyuma hapo msimbazi?
Simba mna mnasuport hii? au vibe tu.
PIA SOMA
- News Alert: - Salim Abdallah 'Try Again' ajiuzulu uenyekiti bodi ya wakurugenzi Simba
1. Mtu anajiuzulu vipi ajatoa progress ya team akitoka? How will things run?
2. Shida ya simba nini?? majibu?
3. Wakati huu wa usajili na mipango ya mwakani?? nani atatoa orientation?? au mna za upya??
4. MO makazi yake ni dubai?? vipi?? chairman via zoom and Skype au??
5. MBONA SIMPLE hivyo, kaacha progress report???!
6. Mangungu una hisi ana elimu na yupo bora kuliko Try Again? Ambaye kafanya kazi na Pope. alikuwa ndo analeta vyuma hapo msimbazi?
Simba mna mnasuport hii? au vibe tu.
PIA SOMA
- News Alert: - Salim Abdallah 'Try Again' ajiuzulu uenyekiti bodi ya wakurugenzi Simba