CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,477
Ndugu yangu Try again hakikisha haya unayafanya kwa mafanikio ili "waandishi/wachambuzi"na lopolopo la utopolo wasikusumbue, ukifanikisha haya nakuhakikishia utakuwa rafiki wa kila mtu na media zitakupenda sana:
- hakikisha simba inapoteza ubingwa mwaka huu
- itolewe next round champions league
- ishindwe kulipa mishahara
- tengeneza makundi na majungu ndani ya klabu
- tafuta msemaji ambaye kazi yake itakuwa kuitisha press kwa nembo ya klabu na kumtukana gharib wa gsm na bakhressa wa azam(awatukane personally siyo klabu zao)
*Kama huamini kumbuka ndani ya miaka 4 ni CEO mmoja tu mwenye matokeo mabovu Senzo alifanikisha simba kutolewa na ud songo lakini hadi leo wachambuzi wanakuambia ndiye shujaa na genius
*Jitahidi sana brother ufanikishe niliyokuakmbia, mwenzako Mo kakomaa miaka 4 analeta makombe,robo fainali mbili na team kuanzia first round ya CAF watanzania hawataki hayo na hawajazoea mambo ya aiana hiyo TUNATAKA NEGATIVITIES
- hakikisha simba inapoteza ubingwa mwaka huu
- itolewe next round champions league
- ishindwe kulipa mishahara
- tengeneza makundi na majungu ndani ya klabu
- tafuta msemaji ambaye kazi yake itakuwa kuitisha press kwa nembo ya klabu na kumtukana gharib wa gsm na bakhressa wa azam(awatukane personally siyo klabu zao)
*Kama huamini kumbuka ndani ya miaka 4 ni CEO mmoja tu mwenye matokeo mabovu Senzo alifanikisha simba kutolewa na ud songo lakini hadi leo wachambuzi wanakuambia ndiye shujaa na genius
*Jitahidi sana brother ufanikishe niliyokuakmbia, mwenzako Mo kakomaa miaka 4 analeta makombe,robo fainali mbili na team kuanzia first round ya CAF watanzania hawataki hayo na hawajazoea mambo ya aiana hiyo TUNATAKA NEGATIVITIES