Try again: Manzoki alisaini Simba

Try again: Manzoki alisaini Simba

Angekuwa ngaya,wangemzuia jamaa asiende zake,jamaa wana ushamba wa asili.
 
Kama ni kweli basi Kuna % wanapata kutoka mshahara wa huyo mchezaji..
 
IMG-20230523-WA0019.jpg
 
Kwa iyo Simba ingemlipa mshahara wa milioni 25 kwa Mwezi kama asingeenda China.
 
Hii habari 100% kweli kabisa .nilikuwa naijua kitambo.

Simba ni waungwana sana ingekuwa upande WA pili Kila siku vikao visingeisha.
.
Utopolo ni hawataki mzawa apate kabisa
 
😎😎😎😎😎
Hata sijaisoma huwezi aminii....na uamini kabisa kuwa najibu tuu kwa sbb umeniita na sijapanda juu kusoma nini umeandika.
Manzoki alisaini Simba mkataba wa awali
 
Hii habari 100% kweli kabisa .nilikuwa naijua kitambo.

Simba ni waungwana sana ingekuwa upande WA pili Kila siku vikao visingeisha.
.
Utopolo ni hawataki mzawa apate kabisa
Kwan manzoki ni mzawa??
 
Back
Top Bottom