Try Again: Tunaenda kupata ushindi Misri.

Try Again: Tunaenda kupata ushindi Misri.

Frank Wanjiru

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2012
Posts
22,719
Reaction score
40,739
"Bahati haiwezi kuwa kwao kila siku, leo imekuwa bahati kwao, kesho inaweza kuwa kwetu, cha msingi kuwa na morali, umoja, upendo na kujiandaa, hatuwezi kwenda kushinda ugenini kama tutakata tamaa. — Mwenyekiti wa Bodi Simba, Salim Abdallah 'Try Again'

"Mimi naamini kwa timu tuliyonayo, kwa nyinyi mlivyo mimi naamini kabisa tunaenda kupata ushindi, tusikate tamaa hata kidogo morali yetu iwe juu kabisa kupita hii tuliyokuwa nayo mimi naamini mnaweza kufanya hivyo na tukapata ushindi ugenini." — Try Again
 
Mashabiki wa simba ifikie wakati mkatae hii tabia ya viongozi wenu kuwaona nyinyi kama mbumbumbu vile.

Yaani kirahisi tu simba ikapate ushindi Misri!! Kweli? Bora hata angesema timu itaenda kupambana ili isifungwe goli nyingi (yaani Khamsa) na Waarabu.
 
"Bahati haiwezi kuwa kwao kila siku, leo imekuwa bahati kwao, kesho inaweza kuwa kwetu, cha msingi kuwa na morali, umoja, upendo na kujiandaa, hatuwezi kwenda kushinda ugenini kama tutakata tamaa. — Mwenyekiti wa Bodi Simba, Salim Abdallah 'Try Again'

"Mimi naamini kwa timu tuliyonayo, kwa nyinyi mlivyo mimi naamini kabisa tunaenda kupata ushindi, tusikate tamaa hata kidogo morali yetu iwe juu kabisa kupita hii tuliyokuwa nayo mimi naamini mnaweza kufanya hivyo na tukapata ushindi ugenini." — Try Again
Aaahaaaa
 
Mashabiki wa simba ifikie wakati mkatae hii tabia ya viongozi wenu kuwaona nyinyi kama mbumbumbu vile.

Yaani kirahisi tu simba ikapate ushindi Misri!! Kweli? Bora hata angesema timu itaenda kupambana ili isifungwe goli nyingi (yaani Khamsa) na Waarabu.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Eti isifungwe goli nyingi
 
"Bahati haiwezi kuwa kwao kila siku, leo imekuwa bahati kwao, kesho inaweza kuwa kwetu, cha msingi kuwa na morali, umoja, upendo na kujiandaa, hatuwezi kwenda kushinda ugenini kama tutakata tamaa. — Mwenyekiti wa Bodi Simba, Salim Abdallah 'Try Again'

"Mimi naamini kwa timu tuliyonayo, kwa nyinyi mlivyo mimi naamini kabisa tunaenda kupata ushindi, tusikate tamaa hata kidogo morali yetu iwe juu kabisa kupita hii tuliyokuwa nayo mimi naamini mnaweza kufanya hivyo na tukapata ushindi ugenini." — Try Again
duh ngoja tuone
 
Mashabiki wa simba ifikie wakati mkatae hii tabia ya viongozi wenu kuwaona nyinyi kama mbumbumbu vile.

Yaani kirahisi tu simba ikapate ushindi Misri!! Kweli? Bora hata angesema timu itaenda kupambana ili isifungwe goli nyingi (yaani Khamsa) na Waarabu.
Kwani hamasa ya uzalendo imechana mkeka au🤔
 
Back
Top Bottom