Mavuno mazuri yanatokana na jinsi ulioandaa shamba lako.. Simba wasitafute sababu nyingi. Mpira ni lazma utoe matokeo. Wajipange upya bado milango ipo waziYaani Simba mkifungwaga tu mnaanza maneno na kufukuzisha viongozi, mnataka mfunge nyie tu, kubalini kushindwa sometimes. Mlivyowafunga wale wanakwaya St. George mkajionaaa.
Coca acha mashairi yako hapa, msimu huu hakuna kombe tutachukua kwa aina ile ya uchezaji tena kama hakutakuwa na ingizo la straiker mpya basi game za mikoani tutagawa pionts sana tu.Sijaona chochote cha kulaumu hapo. Tuanze msimu mpya kwa Ari, nguvu na kasi.
Ya leo yameishia hapa.
Una uhakika hukugusa hata balimi ndogo mkuu (joke)[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Japokuwa situmii kinywai ila kwa kuipenda simba nimeangalia mechi bar ila tumefungwa...dah!!
WanakwayaYaani Simba mkifungwaga tu mnaanza maneno na kufukuzisha viongozi, mnataka mfunge nyie tu, kubalini kushindwa sometimes. Mlivyowafunga wale wanakwaya St. George mkajionaaa.
Nimependa aina ya ushabiki wako, hongera, naamini Simba ni nzuri Haina tatizo ila haya ndiyo matokeo ya mpira.Tumekosa mara nyingi, tukafanya uzembe wametuadhibu. No excuse, tuliziidiwa kipindi cha pili, overconfidence imetuponza
..we fall,we break,we fail
But then,we we rise,we heal,we overcome
A lion lives in the heart of every brave man.
We win together,we lose together..Simba nguvu moja [emoji1129]
Wakuu,
Huu uongozi umeshindwa kuwafunga Yanga, wakubali hatuwezi kuishi bila kuwafunga Yanga. Wajiuzulu tupate watu wenye mipango mipya.
Kufungwa na Yanga ni aibu isiyo na excuse! Ni kama wamejua mlango wa kudeal na sisi na tumeshindwa kuufunga. Sasa tufukuze viongozi, sio kocha, sio wachezaji! Hakuna raha bila kuwafunga Yanga!
Officially tumekuwa wateja wa Yanga! Hii aibu hii ni mwisho kuivumilia! Simba tufanye mabadiliko! No excuse!
Wakuu,
Huu uongozi umeshindwa kuwafunga Yanga, wakubali hatuwezi kuishi bila kuwafunga Yanga. Wajiuzulu tupate watu wenye mipango mipya.
Kufungwa na Yanga ni aibu isiyo na excuse! Ni kama wamejua mlango wa kudeal na sisi na tumeshindwa kuufunga. Sasa tufukuze viongozi, sio kocha, sio wachezaji! Hakuna raha bila kuwafunga Yanga!
Tulieni dawa ifanye kazi
Hatujamalizana badoTumesajili wachezaji ovyo kwa mtindo ule ule! Viongozi hawa tumewavumilia mno! Waondoke tuunde timu upya! Hatuwezi kufanywa wateja na Yanga mfululizo kipumbavu!
Offside gani na wewe Ile??Yanga ina wenyewe, na wenyewe ni ndiyo sisi wananchi, yaani ni shangwe nchi nzima! Achana na goli lao la offside.
ππWanakwaya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naona furaha kama yote.ππππ
Wewe umenuna kwani? Sababu ni nini? PoleeNaona furaha kama yote.ππ
Uamuzi sahihi, ila sijui tu siku ukisikia timu yako inacheza na probably ikafunga, basi utajiskia vizuri na ushabiki utarudi kwa kasi japo ulijisemea hutoshabikia tena, ni ngumu kiasi.Mimi binafsi najipa likizo ya kuishabikia Simba kwa muda usiojulikana siwezi kujiua kwa presha kwa upumbavu wa watu wasiojali maumivu ya wenzao...... viongozi wanatuona sisi mashabiki kama makatuni.........
Nisije kupata stroke bure na uzee huu nikafa kifala kwa ulofa wa wapuuzi wachache..........Mimi na Simba inatosha kwa sasa mpaka uongozi utakapoonesha umakini......... ENOUGH IS ENOUGH
Kwanini upate shida jombaa, Yanga ndiyo timu iliyopendekezwa na Prof. Janabi kwa watu wenye magonjwa ya moyo.Mimi binafsi najipa likizo ya kuishabikia Simba kwa muda usiojulikana siwezi kujiua kwa presha kwa upumbavu wa watu wasiojali maumivu ya wenzao...... viongozi wanatuona sisi mashabiki kama makatuni.........
Nisije kupata stroke bure na uzee huu nikafa kifala kwa ulofa wa wapuuzi wachache..........Mimi na Simba inatosha kwa sasa mpaka uongozi utakapoonesha umakini......... ENOUGH IS ENOUGH
Huu uamuzi umekuja baada ya upembuzi na uchambuzi yakinifu ukiakisi hali ilivyo ndani ya Simba na kwa faida ya afya yangu pia......Uamuzi sahihi, ila sijui tu siku ukisikia timu yako inacheza na probably ikafunga, basi utajiskia vizuri na ushabiki utarudi kwa kasi japo ulijisemea hutoshabikia tena, ni ngumu kiasi.
Ufunguo umemaliza hela ya maandalizi ya pre season, Uto watakuwa Matombo wakicheza na Moro Kids, sisi tuko huku Ismailia kwa Mafarau tuna hela nyingi sana sisi.Simba tutapigwa na Yanga hadi tukome.
Uzungu ni mwingi sana yaani