hometown JF-Expert Member Joined Jul 30, 2016 Posts 939 Reaction score 1,311 Aug 14, 2022 #141 Kwani hilo jina ni lake au ?maana naona hana wazo la kuachia ngazi kabisa kwa maana karuhusiwa kijaribu kila muda
Kwani hilo jina ni lake au ?maana naona hana wazo la kuachia ngazi kabisa kwa maana karuhusiwa kijaribu kila muda
Alvajumaa JF-Expert Member Joined Jul 5, 2018 Posts 5,039 Reaction score 6,253 Aug 14, 2022 #142 Poleni wana Simba, Popoma sijui ana hali gani?
Alvajumaa JF-Expert Member Joined Jul 5, 2018 Posts 5,039 Reaction score 6,253 Aug 14, 2022 #143 Kapumpuli said: Kwa kweli miaka ya Hivi karibuni, Yanga wamekuwa wakitusumbua sana... Click to expand... Sio kwamba tunawasumbua bali tunafunga na mpira mkubwa sana unapigwa, Mayele kama sio sub jana angetetema mara 3,
Kapumpuli said: Kwa kweli miaka ya Hivi karibuni, Yanga wamekuwa wakitusumbua sana... Click to expand... Sio kwamba tunawasumbua bali tunafunga na mpira mkubwa sana unapigwa, Mayele kama sio sub jana angetetema mara 3,
winston20 JF-Expert Member Joined Jun 21, 2020 Posts 1,116 Reaction score 2,303 Aug 14, 2022 #144 Kwani Yanga kaanza leo kuwafunga,hamjui kua nyie ni wateja wa kudumu wa Yanga?[emoji23][emoji23]
Joseverest JF-Expert Member Joined Sep 25, 2013 Posts 52,812 Reaction score 71,392 Aug 19, 2022 #145 MTAZAMO said: Tumesajili wachezaji ovyo kwa mtindo ule ule! Viongozi hawa tumewavumilia mno! Waondoke tuunde timu upya! Hatuwezi kufanywa wateja na Yanga mfululizo kipumbavu! Click to expand... Tunaoumia ni sisi mashabiki
MTAZAMO said: Tumesajili wachezaji ovyo kwa mtindo ule ule! Viongozi hawa tumewavumilia mno! Waondoke tuunde timu upya! Hatuwezi kufanywa wateja na Yanga mfululizo kipumbavu! Click to expand... Tunaoumia ni sisi mashabiki
Lutandagula JF-Expert Member Joined Apr 8, 2018 Posts 1,762 Reaction score 2,154 Aug 19, 2022 #146 Shida yenu mmejaa ranking, ulozi, uchawi, husda, mnafikiria kiongozi ndo anaweza ifunga timu Fulani, mpira ni professional na si maneno yenu, katika mpira kuna matokeo matatu!
Shida yenu mmejaa ranking, ulozi, uchawi, husda, mnafikiria kiongozi ndo anaweza ifunga timu Fulani, mpira ni professional na si maneno yenu, katika mpira kuna matokeo matatu!