Tsar Alexander III aliweza kukunja mafundo kwenye uma wa kulia chakula

Tsar Alexander III aliweza kukunja mafundo kwenye uma wa kulia chakula

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1636198200290.png

Alikua na nguvu za ziada. Aliweza kuchana rundo la ma gazeti kwa wakati mmoja.

Siku moja wakiwa mezani wanakula chakula, Balozi wa Austria alisema wakifanya was fujo na Urusi watatuma vikosi viwili tu vya jeshi kuinyosha Urusi, Alexander Alikunja fundo kwenye uma na kumwambia hiki ndicho nitakacholifanyia jeshi lako.
 
Back
Top Bottom