Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ligi ya uingereza na vpl ni mbingu na ardhi, uko uingereza timu inaingiza mapato kupitia, mdhamini mkuu wa timu(kampuni) vifaa vya michezo kama jezi n.k na viingilio lakini pia haki za kurusha matangazo...sisi huku ni tofauti labdaUwekezaji wa timu za Uingereza, na anachopata bingwa ni sawa?
Hii ni kote japo kwetu ni kidogo sana.
Timu zinatakiwa kubadilika, kuendeshwa kisasa ili zijiingizie faida.
Ndo maana nikasema timu ziendeshwe kisasa.Ligi ya uingereza na vpl ni mbingu na ardhi, uko uingereza timu inaingiza mapato kupitia, mdhamini mkuu wa timu(kampuni) vifaa vya michezo kama jezi n.k na viingilio lakini pia haki za kurusha matangazo...sisi huku ni tofauti labda
Kwani hiyo ni Billion moja???Hiyo bilioni moja nani anatoa
Vodacom kutoa bil 9 kwa miaka 3 ni kama kujitolea tu.Uchumi wa kati. Ukiona hivyo Vodacom hawaingizi faida kuuuuubwa.
Kuna mdau hapo juu kapendekeza angalau ingekuwa bilioni mojaKwani hiyo ni Billion moja???
Uingereza club inapata hela nyingi sana kutoka vyanzo tofauti vingi.Uwekezaji wa timu za Uingereza, na anachopata bingwa ni sawa?
Hii ni kote japo kwetu ni kidogo sana.
Timu zinatakiwa kubadilika, kuendeshwa kisasa ili zijiingizie faida.
Mada kuu ni fedha anayopata bingwa.Uingereza club inapata hela nyingi sana kutoka vyanzo tofauti vingi.
Nikisema klabu ziendeshwe kisasa namaanisha.Fafanua huo usasa unaosema, Nani hataki ligi ikiendeshwa kisasa? Kikwazo Ni Nini?
Bei halisi ya jezi original watanzania wengi hawawezi kuinunua kwasababu ya low purchasing power yetu, yaani ugali unakosekana sembuse kununua jezi?Nikisema klabu ziendeshwe kisasa namaanisha.
Kuwa na mfumo mzuri wa Uongozi utakao buni njia mbalimbali za mapato kama klabu.
Ikiwa ni pamoja na mauzo ya jezi, sponsors,....