TSh. 100,000,000 Ni sawa kwa mshindi wa kwanza VPL?

TSh. 100,000,000 Ni sawa kwa mshindi wa kwanza VPL?

Bei halisi ya jezi original watanzania wengi hawawezi kuinunua kwasababu ya low purchasing power yetu, yaani ugali unakosekana sembuse kununua jezi?
Si ni watanzania hawa hawa humaliza zaidi ya laki baa kwa usiku?
Ukiona hawanunui jua hawajashawishiwa kufanya hivyo.
 
Uwekezaji unaofanywa na timu za ligi kuu ya Vodacom unafanana na zawadi ya mshindi wa kwanza inayotolewa?

Tufanye Nini?
Mimi nafikiri cha kufanya washabiki tujae uwanjani kila mechi au wewe mtoa mada uongeze milioni mia4 ili bingwa apate milioni mia5
 
Ligi ya uingereza na vpl ni mbingu na ardhi, uko uingereza timu inaingiza mapato kupitia, mdhamini mkuu wa timu(kampuni) vifaa vya michezo kama jezi n.k na viingilio lakini pia haki za kurusha matangazo...sisi huku ni tofauti labda
Sio kweli mzee hata kwetu timu zinapata ulivyovisema pia voda hawatoi zawadi ya bingwa pekee, timu zote zilizoshiriki ligi kuu zimepata hela kutoka voda sasa timu zote ni mabingwa?
 
Mimi nafikiri cha kufanya washabiki tujae uwanjani kila mechi au wewe mtoa mada uongeze milioni mia4 ili bingwa apate milioni mia5
Hata tukiingia wote Haitoshi, kiingili 3000 hadi 5090 Ni sawa na kusema US dollar 1 hadi 2 kiingilio itatosha nn?
 
TSh. 100,000,000 ya mshindi wa vpl ni sawa na dollar 42,500 za kimarekani. Huu Ni mshahara wa wiki wa mchezaji wa timu za daraja la chini uingereza. Are we serious?

Wadhamni lazima waongeze dau wasitufanye Kama sisi hatuelewi. Ni Heri Basi waache kutoa zawadi nyingine ili wamuongezee dau mshindi wa kwanza, pili, tatu, na nne. Maana timu hizi huwa zinafanya uwekezaji mkubwa Sana ili ligi ivutie
 
TSh. 100,000,000 ya mshindi wa vpl ni sawa na dollar 42,500 za kimarekani. Huu Ni mshahara wa wiki wa mchezaji wa timu za daraja la chini uingereza. Are we serious?

Wadhamni lazima waongeze dau wasitufanye Kama sisi hatuelewi. Ni Heri Basi waache kutoa zawadi nyingine ili wamuongezee dau mshindi wa kwanza, pili, tatu, na nne. Maana timu hizi huwa zinafanya uwekezaji mkubwa Sana ili ligi ivutie
Kama vilabu vinataka kuvuna mabillioni ni lazima wafanye vizuri kwenye michuano ya kimataifa (CACL) maana huko ndiko kwenye pesa ya kuwafaa.
 
Kama nchi baro hatujawekeza kisawasawa kwenye sekta ya michezo kwa ujumla wake.Michezo yetu tunaifanyia kwenye mdomo kwakupiga porojo nyingi bila mipango wala mikakati.Sasa kwa hali hiyo sio rahisi kupata wadhamini watakao toa zaidi au pia wanachama na mashabiki kujitoa kwa hali na mali kusaidia vilabu vyao.Sasa ili kuboresha ilo zinahitajika nguvu za pamoja za wadau wote kukaa nakujadiliana nini kifanyike na mkakati huo uwe endelevu sio wa zima moto.
 
TSh. 100,000,000 ya mshindi wa vpl ni sawa na dollar 42,500 za kimarekani. Huu Ni mshahara wa wiki wa mchezaji wa timu za daraja la chini uingereza. Are we serious?

Wadhamni lazima waongeze dau wasitufanye Kama sisi hatuelewi. Ni Heri Basi waache kutoa zawadi nyingine ili wamuongezee dau mshindi wa kwanza, pili, tatu, na nne. Maana timu hizi huwa zinafanya uwekezaji mkubwa Sana ili ligi ivutie
Usisahau kuna kipindi ligi ilianza uku kukiwa hakuna mdhamini hadi ikawabidi Tff kuumiza vichwa.Sta hicho kidogo tunachokipata tushukuru kwasababu ukiangalia kwa mapana utaona nikama Tff na vilabu ndo inayowahitaji zaidi wadhamini kuliko wadhamini kuwahitaji wao.Kwahiyo hiyo inaonyesha kua bado soka letu halijakaa kibiashara zaidi yakua burudani tu.Kwahali iyo lazima makampuni mengi yaogope kuwekeza sana.
 
Kama vilabu vinataka kuvuna mabillioni ni lazima wafanye vizuri kwenye michuano ya kimataifa (CACL) maana huko ndiko kwenye pesa ya kuwafaa.
Kufanyanya vizuri CACL lazima ufanye vizuri VPL kwanza. Kufanya vizuri VPL unahitaji uwekezaji mkubwa, Waamuzi wazuri wanaochezesha kwa haki na weledi, ratiba nzuri ya ligi na viwanja vizuri. Vyote hivi hatuna.

Clubs ziwe na vitalu vya vipaji na kuuza wachezaji na udhamini wa haki
 
Kama nchi baro hatujawekeza kisawasawa kwenye sekta ya michezo kwa ujumla wake.Michezo yetu tunaifanyia kwenye mdomo kwakupiga porojo nyingi bila mipango wala mikakati.Sasa kwa hali hiyo sio rahisi kupata wadhamini watakao toa zaidi au pia wanachama na mashabiki kujitoa kwa hali na mali kusaidia vilabu vyao.Sasa ili kuboresha ilo zinahitajika nguvu za pamoja za wadau wote kukaa nakujadiliana nini kifanyike na mkakati huo uwe endelevu sio wa zima moto.
Mzee watanzania hatuna tabia ya kugharamia furaha na starehe zetu, ndio maana watu wanaibeza Yanga inapotembeza bakuli. Mashabiki wa Simba kwamfano Wanakenulia hela za mo ziwaletee furaha na Raha wanayoihitaji, hawanunui jezi original za Simba Wala bidhaa za mo energy. Wanataka pepo bila kutaka kufa.
 
Hali bado mbaya sana kwa tanzania football,

Kwanza CCM warudishe viwanja vyote vya michezo serikalini, na serikali ivikarabati viwanja vyote viwe vya kisasa na league isichezwe kwenye viwanja vya hovyo hovyo, ifanyike kampeni kubwa ya kuleta ushindani kwa mashabiki, hasa kwa timu ambazo siyo za kariakoo.

Serikali iamue kupitia taasisi/mamlaka/kampuni zake kama TANAPA,TTCL ambazo huwa zinatenga fungu la kujitangaza (promotion) zitenge fungu (50%) kudhamini vilabu vya ndani (siyo simba na yanga tuu) na kudhaminj league

Vilabu navyo viweke mkakati wa kushirikisha na kuvuna mashabiki hasa kutoka maeneo wanapotoka...
 
Back
Top Bottom