Ashery Eliakim
Member
- Mar 21, 2024
- 25
- 28
Unataka kuchora kupitia nn paint Microsoft au? Mm mchoraji mzuri. Nitaweka sampo ya kuchora kwa mkono kwanza hapahapa soonHabari wakuu!
Nimekuwa na hamu ya kumiliki character wangu anayeitwa TANZANIAN (kama masudi alivyo na Kipanya, au kulivyo na madenge, nk) ambaye nitaweza kumtumia kwenye ujasiriamali mbalimbali mfano kutengeneza jarida, kutengeneza content za social media (animation videos) nk
Shida inayonirudisha nyuma ni kuwa sjui kuchora. Hivyo natafuta mtu ambaye anajua kuchora na nitakuwa namlipa 1k kwa kila picha atakayoichora.
Kama unajua kuchora tafadhari tuwasiliane.
View attachment 2964446
Unategemea kuweka fasihi iliyofichwa au kuweka fasihi waziri ili tutafte jina hapahapa na nimuwekeje wekeje. Je unatka awe mtu anayezubgumzia mfumo wa utajiri vs umaskini ukweni kukosoa ufisadi na ubadhilifu au kero kwa slum dwellers... EtceteraHabari wakuu!
Nimekuwa na hamu ya kumiliki character wangu anayeitwa TANZANIAN (kama masudi alivyo na Kipanya, au kulivyo na madenge, nk) ambaye nitaweza kumtumia kwenye ujasiriamali mbalimbali mfano kutengeneza jarida, kutengeneza content za social media (animation videos) nk
Shida inayonirudisha nyuma ni kuwa sjui kuchora. Hivyo natafuta mtu ambaye anajua kuchora na nitakuwa namlipa 1k kwa kila picha atakayoichora.
Kama unajua kuchora tafadhari tuwasiliane.
View attachment 2964446
Ni superhero (shujaa) ambaye kazi yake ni kuwapigania watanzania wote wanaoonewa kwa ujumla na Tanzania kama taifa(mali zake, maliasili, nk)Un
Unategemea kuweka fasihi iliyofichwa au kuweka fasihi waziri ili tutafte jina hapahapa na nimuwekeje wekeje. Je unatka awe mtu anayezubgumzia mfumo wa utajiri vs umaskini ukweni kukosoa ufisadi na ubadhilifu au kero kwa slum dwellers... Etcetera
Weka sampo ya TANZANIANUnataka kuchora kupitia nn paint Microsoft au? Mm mchoraji mzuri. Nitaweka sampo ya kuchora kwa mkono kwanza hapahapa soon
Kwanini mkuu?Angalizo, ni ngumu sana kuelewa hii thread
Kwanini unasema hivyo tajiri? Wapi nifanyie marekebisho?Huyo superhero wako yupo kama jambazi
Jina lipo tayari anaitwa TANZANIAN. Fasihi yake ntakuwa naiandaa mwenyewe kazi yako ni kuchora tu!Un
Unategemea kuweka fasihi iliyofichwa au kuweka fasihi waziri ili tutafte jina hapahapa na nimuwekeje wekeje. Je unatka awe mtu anayezubgumzia mfumo wa utajiri vs umaskini ukweni kukosoa ufisadi na ubadhilifu au kero kwa slum dwellers... Etcetera
Kuna watu wanapenda katuni balaa
Ni superhero (shujaa) ambaye kazi yake ni kuwapigania watanzania wote wanaoonewa kwa ujumla na Tanzania kama taifa(mali zake, maliasili, nk)
Ukiona hujaelewa jua haukuhusu mkuuAlieuelewa uzi anifafanulie..!