Tsh 1000 kwa picha ya katuni/ Superhero utakayochora

Tsh 1000 kwa picha ya katuni/ Superhero utakayochora

Kwa nn idea yako ukaiita "busara za mkufunzi" hapo utacheza vizur na content hizo. Wewe utajikita kwenye critical matters na unawez kucheza na vibonzo visivyoongea ingawa ni fasihi ngum sana.

Yule wa kipanya haongeagi yeye ni observer na sio active participant mana anashangaaga na kusema "duh"
Usisumbuke kwenye idea na fasihi mkuu...script zipo tayari nnachotaka ni mtu mwenye uwezo wa kuchora basi😎
 
Usisumbuke kwenye idea na fasihi mkuu...script zipo tayari nnachotaka ni mtu mwenye uwezo wa kuchora basi😎
Kuchora nilijaribu karibu miaka kadhaa nyuma mana niliomba kazi hiyo pale Lumumba kwenye gazeti la uhuru. Na procces za kunipa nafasi zilikuwepo..

Niliacha sababu ya vifaa mana nlilazimika kutumia desktop ya ofisi. So Nina moderate level ya kutumia paint, lakin Nina uwezo mzuri wa kutumia mkono.

Kuna jamaa juu hapo anasema anawez kuchora vizuri, wasiliana nae. Msisitize aweke picha zake hapa tuzione
 
Kuchora nilijaribu karibu miaka kadhaa nyuma mana niliomba kazi hiyo pale Lumumba kwenye gazeti la uhuru. Na procces za kunipa nafasi zilikuwepo..

Niliacha sababu ya vifaa mana nlilazimika kutumia desktop ya ofisi. So Nina moderate level ya kutumia paint, lakin Nina uwezo mzuri wa kutumia mkono.

Kuna jamaa juu hapo anasema anawez kuchora vizuri, wasiliana nae. Msisitize aweke picha zake hapa tuzione
Mchore TANZANIAN hata kwa mkono nitumie
 
Pm haifunguki sijui kwa nn Ila nitatuma hapa sample kadhaa
 
IMG_20240417_125746.jpg
nimechora moja hiyo kwa peni Kama utapendezwa utanipa idea nichore mhusika wa aina gani anaeendana na script zako Ila ni mchoraji mzuri hiyo Kama sample tu
 
Au mm ndio sijaelewa huyo Tanzanian anatakiwa aweje
Nimemuelewa hio picha uliyotuma haina Watermark kwamba umechora wewe chora kikatuni Chenies Identity ya huyo Mr Tanzania ndio anavyotaka mfano kikatoni tumboni kimeandikwa Tanzanian au kana bendera au kamevaa Soksi za benders ya Tz.

Anashindwa kuelezea jamaa
 
Nimemuelewa hio picha uliyotuma haina Watermark kwamba umechora wewe chora kikatuni Chenies Identity ya huyo Mr Tanzania ndio anavyotaka mfano kikatoni tumboni kimeandikwa Tanzanian au kana bendera au kamevaa Soksi za benders ya Tz.

Anashindwa kuelezea jamaa
Sio nashindwa kuelezea, hiyo picha unayoona hapo huyo ndo TANZANIAN mwenyewe, nataka mtu amchore either akiwa kama nilivyompost au akiwa kwenye pozi tofauti
Screenshot_20240406-124315_Instagram.jpg

Huyu unayemuona ndo TANZANIAN sasa kisichoeleweka ni kipi??
 
Habari wakuu!

Nimekuwa na hamu ya kumiliki character wangu anayeitwa TANZANIAN (kama masudi alivyo na Kipanya, au kulivyo na madenge, nk) ambaye nitaweza kumtumia kwenye ujasiriamali mbalimbali mfano kutengeneza jarida, kutengeneza content za social media (animation videos) nk

Shida inayonirudisha nyuma ni kuwa sjui kuchora. Hivyo natafuta mtu ambaye anajua kuchora na nitakuwa namlipa 1k kwa kila picha atakayoichora.

Kama unajua kuchora tafadhari tuwasiliane.
View attachment 2964446
Huyu hapa ndo character wangu. Nataka mtu wa kumchora akiwa kwenye pozi mbalimbali.
Leta deal

Lakuni unanilipa laki moja kwa mchoro mmoja
 
Back
Top Bottom