π€£π€£π€£π€£ hii kali aisee!!View attachment 2966274nimechora moja hiyo kwa peni Kama utapendezwa utanipa idea nichore mhusika wa aina gani anaeendana na script zako Ila ni mchoraji mzuri hiyo Kama sample tu
Lamomy hebu weka simu pembeni leta mchoro wako hapa tuweke kwenye archive zetu π€£π€£π€£π€£π€£ hii kali aisee!!
π€£π€£π€£ Nitachora picha halafu ex wangu akasirike bure ajue nimemchora yyLamomy hebu weka simu pembeni leta mchoro wako hapa tuweke kwenye archive zetu π€£
Sasa unajua hatumjui sura Wewe tuwekee mtajuana wenyewe Hukoo...tuma bana zingatia muda π€£π€£π€£π€£ Nitachora picha halafu ex wangu akasirike bure ajue nimemchora yy
π€£π€£π€£ sitaki na vile ana bichwa kubwa wee thubutuu.!!Sasa unajua hatumjui sura Wewe tuwekee mtajuana wenyewe Hukoo...tuma bana zingatia muda π€£
π€£π€£π€£ Basi weka sikio kubwa halafu mkataeπ€£π€£π€£ sitaki na vile ana bichwa kubwa wee thubutuu.!!
Lazima atajua nimemchora yeye tyuuu.!
Mbona umenikalia kooni sana π€£π€£π€£π€£π€£π€£ Basi weka sikio kubwa halafu mkatae
Inasikitisha sana!Ijue nguvu ya buku...
Watu wanapambana kweli..
Ungekuwa unajua kuchora usingeuliza hili swali maana ungejua protocol inavyokuwaTuje kwenye malipo; vipi unatuma ela ndo uchorewe au unachorewa ndio unatuma ela? Je nikichora ukanirusha au je ukinilipa nikapotea? Which is first?
Inasikitisha? Buku picha moja? Akichora mia ni Tsh ngapi? Akichora kwa mwezi mzima je? Au umeskitika kabla hujafikiria?Inasikitisha sana!
Your offer is exploitative, PERIOD!Inasikitisha? Buku picha moja? Akichora mia ni Tsh ngapi? Akichora kwa mwezi mzima je? Au umeskitika kabla hujafikiria?
Ndo yeye π .. si yule wa pale wizara ya majiShem mbona km umemchora ex wangu π€£π€£π€£π€£
Ijue nguvu ya buku...
Watu wanapambana kweli..
Kwa kuchora vibonzo ni hela ya kawaida kabisa. Mana wachoraji wa kwenye magazeti ni waandishi wa habari pia. Hivi vidude Mimi naweza chora hata mia 4 kwa siku nkiwa Sina stress na idea n kama idea imeeleweka.Your offer is exploitative, PERIOD!
Mkuu Mimi sio Disney au Pixar, bado tunajitafuta. Kama huwezi kusapoti naamini unaweza kunyamaza unaweza. Sio lazima kila uzi u-comment!Your offer is exploitative, PERIOD!
Ingependeza zaidi kama request yako ungeitoa in private ili nisipate mwanya wakuchangia. ππΎMkuu Mimi sio Disney au Pixar, bado tunajitafuta. Kama huwezi kusapoti naamini unaweza kunyamaza unaweza. Sio lazima kila uzi u-comment!
Mwenyewe kabisa shem π€£π€£π€£Ndo yeye π .. si yule wa pale wizara ya maji
Zenj liniMwenyewe kabisa shem π€£π€£π€£
OkayIngependeza zaidi kama request yako ungeitoa in private ili nisipate mwanya wakuchangia. ππΎ