Sasa mkuu ndio utake IPhone macho matatu kwa laki hiyo!Naam pesa taslimu 300k tsh ipo nahitaji kupata simu used kutoka mtumiaji wa Tanzania achana na hizi used from Dubai. Leta ofa yako tufanye biahara π€π½
nipe nambari yako nikuuzie yanguHapana nahitaji simu yoyote mradi iwe kwenye conditions nzuri. Nimnyang'anye mtumiaji mkononi.
Imetajwa wapi?Sasa mkuu ndio utake IPhone macho matatu kwa laki hiyo!
Weka picha hapa πnipe nambari yako nikuuzie yangu
Asante. Ngoja nipokee ofa kadhaa nlinganishe halafu nitakucheki PM tutajengeOngeza ongeza nikuachie huo mkwaju upo na kila kitu chake ni mimi ndio natumiaView attachment 2674554View attachment 2674555
Hii nmevutiwa nayo sema unahtaj kiac gani nikupeOngeza ongeza nikuachie huo mkwaju upo na kila kitu chake ni mimi ndio natumiaView attachment 2674554View attachment 2674555
njoo nikuuzie pixel 4aNaam pesa taslimu Tsh. 300,000/= ipo nahitaji kupata simu used kutoka mtumiaji wa Tanzania achana na hizi used from Dubai.
Leta ofa yako tufanye biashara [emoji1754]