LIGEDENGE 1
Senior Member
- Nov 15, 2013
- 184
- 29
Wewe chukua join hiyo hela ni kwaajili ya kuandaa hyo form unayopewa kwanza mbona bei chee tu mjomba,
utata unakuja hapa,shuleni kwetu tunatoa fomu bure,na ni ya serikali. inakuwaje hapo? kwanini shule za serikali zitofautiane ktk utoaji fomu?
Shitaki TAKUKURU watakusaidia
you have a point, ushauri wangu ni kuwa chukua hiyo form then udai payment receipt (halali not otherwise) maana malipo yoyote halali lazima yafanyike kwa receipt ili kesho au keshokutwa kama kutatokea maelekezo mbadala katika utoaji wa hizo form uweze kurudishiwa pesa yako. Watanzania msichukulie vitu kirahisi rahisi tu eti kwa sababu ni cheap hivyo uchukue tu bila kuhoji. Binafsi nakupongeza @ligedenge, kwa kuhoji juu ya hili.
Waombe hiyo form ukatoe copy kwa sh.100 then uwarudishie original copy. Waache ujambazi
Ruzuku zinafanana kwanini,je vyazo vya mapato vinalingana?ndomana sehemu zingine mchango wa taaluma 5000 na kwingine 30000,na kwingine hawachangiiutata unakuja hapa,shuleni kwetu tunatoa fomu bure,na ni ya serikali. inakuwaje hapo? kwanini shule za serikali zitofautiane ktk utoaji fomu?
ahsante keen,maana siku hizi wizi wa kimaandishi ni mwingi
Ruzuku zinafanana kwanini,je vyazo vya mapato vinalingana?ndomana sehemu zingine mchango wa taaluma 5000 na kwingine 30000,na kwingine hawachangii
Kila la kheri kwake mdogo wako, mwambie asome aache usharobaro, mjini shule, anaona kila kitu kulipia siku hizi, wameshindwa tu kutulipiza pumzi ya uhai! Hata hivyo, I believe kama hayo malipo ni halali lazima yawe kwa shule zote na standardized, otherwise ni UBUNIFU wa shule husika!
Sijawah kuona toka nianze kusoma! Ni juzi tu hapa Shy nilimfuatia dogo joining yake,ni bure kabisa tena hadi sample ya kitambaa wanabandika kwenye hyo karatasi na wanakuomba uwaambie na wengine wawahi kuchukua hizo form! TANZANIA BILA WIZI,HAIWEZEKANI
ulaji wa HeadMaster.Habari za jumapili wana jf. Mwenzenu nina mdogo wangu kachaguliwa kujiunga kidato cha 1 kibasila sec. Ya dsm . Cha ajabu naenda kuchukua fomu ya kujiunga,naambiwa nitoe tshs.5000, na wameweka tangazo kuhusu hilo. Toka lini shule za serikali wakadai pesa za joining.? Naomba ushauri ndugu zangu.
Habari za jumapili wana jf. Mwenzenu nina mdogo wangu kachaguliwa kujiunga kidato cha 1 kibasila sec. Ya dsm . Cha ajabu naenda kuchukua fomu ya kujiunga,naambiwa nitoe tshs.5000, na wameweka tangazo kuhusu hilo. Toka lini shule za serikali wakadai pesa za joining.? Naomba ushauri ndugu zangu.
wazo zuri,kibaya ni kuwa hupewi fomu hadi utoe 5 elfu yao
Kila la kheri kwake mdogo wako, mwambie asome aache usharobaro, mjini shule, anaona kila kitu kulipia siku hizi, wameshindwa tu kutulipiza pumzi ya uhai! Hata hivyo, I believe kama hayo malipo ni halali lazima yawe kwa shule zote na standardized, otherwise ni UBUNIFU wa shule husika!