LIGEDENGE 1
Senior Member
- Nov 15, 2013
- 184
- 29
Habari za jumapili wana jf. Mwenzenu nina mdogo wangu kachaguliwa kujiunga kidato cha 1 kibasila sec. Ya dsm . Cha ajabu naenda kuchukua fomu ya kujiunga,naambiwa nitoe tshs.5000, na wameweka tangazo kuhusu hilo. Toka lini shule za serikali wakadai pesa za joining.? Naomba ushauri ndugu zangu.